Kabisa..[emoji54][emoji54]Kweli wewe hupendagi ujinga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tuhurumiane mkuu mbavu zinabana hapa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2]Kuna jamaa aliweka picha ya ki-pikipiki chake kama whatsapp dp, halaf status akaandika "kabaya kamezeeka lakini kananifanya niishi mjini".
Jana amechange dp ameweka picha ya mchumba wake lakini akasahau kubadilisha status. Unajua kilichotokea??
[emoji23][emoji23][emoji23].!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli wewe hupendagi ujinga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ke au mesijaelewa
auWewe ke au me
Haki yanani akili zako unazijua mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]MUGABE NAE KWA MAJIBU ANATISHA
SWALI:Kwanini wanasiasa wala rushwa hawaendi jela ?
MUGABE! Hii ni sawa na mbu anayeng'ata kwenye pumbu hawezi kupigwa kofi zito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaaaa wee chizi rafiki yango[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani leo siamini kabisa kama nimetimiza mwezi bila kunywa pombe: kwa hiyo hapa nipo bar najipongeza kwa bia mbili tu![emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38]
Kahifadhi kwakoLeo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
wala sijawahi vutaga bangi Mimi
```Amazing Fact
[emoji117]inachukua sekunde 7 baada ya kumeza chakula kufika tumboni
[emoji117]Mtu akifa,ubongo hutumia dakika 15 kumalizia shughul za mwilini
[emoji117]mwanamke ndio kiumbe chenye huruma zaidi na kikatili zaidi hapo hapo
[emoji117]Urefu wa kidole gumba cha mwanaume ni Mara 3 upate urefu wa uume wake.
[emoji117]Mate ya binadamu yanaweza yakawa sumu
[emoji117]Wanawake washamaliza kusoma,
[emoji117]wanaume bado wanaangalia vidole gumba vyao```
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee weee angalia zitapeana mimbaNimecheka hadi mbavu zimepandiana.