Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Daaah MUNGU anakuona
 
Nimeamka alfajiri nifanye jogging kidogo nikakumbuka maandiko ya biblia MITHALI 28:1 (waovu hukimbia hata wasipokimbizwa😉 nikaamua kurudi kulala.
Ninayaelewa sana maandiko niko deep kiroho.!!! Za asubuhi
Sonia G Mungu anakuona
 
[HASHTAG]#1Post[/HASHTAG]
HIVI UNAJUA.

Ukimtumia demu M pesa au Tigo pesa ili aje alafu yeye akatoa hela halafu akakataa kuja unaweza kutumia kifungu cha 416(i) sheria ya mtandao kuwa amekutapeli kwa kusema uongo na anaweza akafungwa jela hadi miaka 7....
Lazima tunyooshane hakuna namna,Ila kama ni mwanafunzi nitamsamehee tuu maana mungu anasema samehe 7×70.
 
HUU KWELI NI UJUHA KABISA
Binti aligundua ameota nywele katikati ya miguu yake akawa na wasiwasi sana akaenda kumuuliza mama yake.Mama yake akamwambia kuwa hiyo sehemu iliyoota inaitwa nyani na ujivunie kuwa nyani wako ameota nywele, Binti akatabasamu katika chakula cha usiku Binti akamwambia dada yake"dada nyani wangu ameota nywele"dada yake akatabasamu na kusema"Wangu tayari ameanza kula NDIZI. Mama akazirai mezani...
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nataka kama ile ya zamaradi kwa ruge
 
hahahha [emoji23][emoji28][emoji23]
 
Yoooohooooooo!!!
Nyani wa dada anakula ndizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…