Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kuna jamaa alifukuzwa kazi... Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlangoni... Ikawa hv...
boss: mbona unakuja kunya kwangu?
jamaa: nataka kukuonesha kuwa silali njaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hhahahahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

TUSIPOANGALIA HUYU BASHITE ANAWEZA KUJIITA Paul PoGbA wamdhibiti Mapema

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huu Ufala wa Madem Huwa Mnavaa Earings Kwa Mapua, Ulimi, Masikio sijui kwa Uso...Maneckless ka mia Mbili...!!!
Mwingine ameanguka jana Town ametoa sauti Ka sufuria[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupwangalangichikong'oung'enkikounkong'ouu!
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Ha ha ha haaaaa dah
 
Maandiko yanasema ukimtazama mwanamke na ukamtaman tiyari unakua ushazini naye............. Na barid hiii nikitazama maji na sabuni si tayari nakua nishaoga[emoji12]

yan mim cjui nikoje
 
Dah anko Gwajima fundii mnooo ilikuwa wakati wa misa yaendelea pale kanisani roho wa bwana akawajia waumini nakuanza kunena kwa lugha eti [HASHTAG]#bashiteeeeee[/HASHTAG]
.........bashiteeeeeeeeee......[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kumbe kunena kwa lugha rahisi ivi ni mwendo wa bashiteeee........
[HASHTAG]#blackexcellence[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…