Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,869
Baba alikaa vibaya mtoto akaona pumbuTeh teh
Mbuguni c iko karibia na mereran?Mbuguni...
Hahahahha
HahahahahaNioneshe msichana mzuri mjini unae mjua[emoji71][emoji68]
Ambae ana Mwanaume Mmoja na mim ntakuonesha Sidiria na Sing'lendi yenye mikono--Mirefu!!!!!Dadeqq[emoji23][emoji1][emoji16][emoji16]
Hahahahaa....Hali ilivyokua ngumu sasa ivi Usishangae Mzazi wako akakupa Ada alafu anakuvizia vichochoroni anakuibia.
Du wataka kusema mbinu ya Dr haiaplai!Katikati ya usiku nakatiza kitaa mara paap mbwa kama nane hivi wakaniibukia kwa mbele wanabweka si mchezo mara nikakumbuka mbinu ya mzee wa lugumi Dr Shika basi nikapeleka mikono yote penye makende huku nikijiamini. Duh hapa nakatiza mtaa wa tatu nina boxer tu sina jeans wala tshirt sijui mbwa wa kienyeji hawaheshimu sheria ya kushika korodani!
HahahahahaJana niliingia library ya chuo, ilikuwa kimya sana. Wakati natafuta mahali pa kukaa, nikakutanisha macho na mtoto mmoja hivi shombe shombe mkali balaa. Akatabasamu kisha akainamia kitabu chake, akaendelea kusoma.
Moyoni nikajisemea : " FURSA "
Nikamsogelea, kwa sauti ya chini sana iliyotutosha sisi wawili tu nikamchombeza : " Habari mrembo! Ninaweza kukaa hiki kiti cha jirani yako? "
Akanijibu kwa sauti kubwa mno hakuna ambaye hakuisikia mle ndani : " SIWEZI KULALA NA WEWE, LABDA UNIROGE "
Kila mtu alinigeukia mimi na kunishangaa. Kwa unyonge nikaenda kukaa kwenye nafasi nyingine iliyokuwa wazi. Baada ya dakika mbili yule mrembo akanifuata hadi nilipokuwa nimekaa. Akiniambia kwa sauti hafifu mno : " Ninasoma Psychology, hivyo ninajua unachofikiria. Unajihisi nimekuaibisha sana..sio? "
Nikaropoka kwa sauti kubwa : " LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU! AH...WAPI! LABDA UNIROGE ". Kila mtu alicheka kwa sauti mle library.
Halafu nikamwambia kwa sauti ya chini mno : " ninasoma sheria, ninajua kumfanya mtu ajione mwenye hatia "
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
HahahahahaJamaa anaugonjwa wa kusahau, akaenda kumuona doctor na maongezi ni kama hivi;
Jamaa; doctor ninaugonjwa wa kusahau yaani nasahau kila kitu, naomba unisaidie nipone tatizo langu.
Doctor: pole sana, tatizo lako liikuanza lini?!!
Jamaa: tatizo gani tena?!!
Pale ilikataa kabisa labda hawa mbwa wetu wana uzao tofauti vizazi na vizaziDu wataka kusema mbinu ya Dr haiaplai!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jana niliingia library ya chuo, ilikuwa kimya sana. Wakati natafuta mahali pa kukaa, nikakutanisha macho na mtoto mmoja hivi shombe shombe mkali balaa. Akatabasamu kisha akainamia kitabu chake, akaendelea kusoma.
Moyoni nikajisemea : " FURSA "
Nikamsogelea, kwa sauti ya chini sana iliyotutosha sisi wawili tu nikamchombeza : " Habari mrembo! Ninaweza kukaa hiki kiti cha jirani yako? "
Akanijibu kwa sauti kubwa mno hakuna ambaye hakuisikia mle ndani : " SIWEZI KULALA NA WEWE, LABDA UNIROGE "
Kila mtu alinigeukia mimi na kunishangaa. Kwa unyonge nikaenda kukaa kwenye nafasi nyingine iliyokuwa wazi. Baada ya dakika mbili yule mrembo akanifuata hadi nilipokuwa nimekaa. Akiniambia kwa sauti hafifu mno : " Ninasoma Psychology, hivyo ninajua unachofikiria. Unajihisi nimekuaibisha sana..sio? "
Nikaropoka kwa sauti kubwa : " LAKI 2 KWA USIKU MMOJA TU! AH...WAPI! LABDA UNIROGE ". Kila mtu alicheka kwa sauti mle library.
Halafu nikamwambia kwa sauti ya chini mno : " ninasoma sheria, ninajua kumfanya mtu ajione mwenye hatia "
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hii inaukweli ndani yake mkuu hata mimi huwa namtafuta sana huyo mtu maana mimi huwa naagiza moja hata muuzaji nae anashangaa*Hivi nani Alianzishaga Mfumo wa kula Chapati mbili? Maana ukiagiza Tatu kila mtu anakugeukia* [emoji3]
Hivyo ni vitenzi.Nukuu ya leo
KULIA NA KUCHEKA YOOTE NI KELELE
Je KUNYA NA KUJAMBA YOTE NI NINI,,!!!![emoji1321]