Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Mkuu umeua [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji12]Jua la bandari hili huna nauli unaua winger (unatembea )mara unahisi kama umenusa harufu ya mishikaki kumbe korodani zako zimesagwa mpaka zinakaribia kuungua
Acha kabisa moja haikai mbili haikaiMkuu umeua [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji12]
[emoji1]Demu anamimba kafika kwa doctor: Demu: docta katoto humu kamezid kucheza cheza namda tayar lkn hata sijiskii uchungu wakujifungua"doctor: meza firimbi na kadi nyekundu katatoka tu.[emoji1321]
[emoji1] [emoji1]*Wiki nne zimesalia kabla ya kufika X-mass utaona wanawake wote wana adabu*
Hata mumewe akienda chooni akitoka utasikia "Honey safari yako ilikuajee?''[emoji5]
Mna visa nyinyi [emoji23][emoji23]ββ[emoji125]ββ[emoji125]ββ
[emoji1] [emoji85]Baba alikaa vibaya mtoto akaona pumbu
Mtoto;baba,mbona pumbu zako nyeusi?
Baba:mama yako anatumia mashine ya dizel
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Jua la bandari hili huna nauli unaua winger (unatembea )mara unahisi kama umenusa harufu ya mishikaki kumbe korodani zako zimesagwa mpaka zinakaribia kuungua
hah ha ha, umeua mkuuPilli alikuwa anamnyonyesha mwanaye. Rafiki ake Kipenzi (Halima) alikuwa amekaa pembeni anaangalia mtoto anavyonyonya.....
Halima akasema,
"kananyonya kama babake"
...Sasa hivi tunajaza PF3 hapa kituo cha Polisi, Kuelekea Hospitali..
πππππ
haha ha haUkiacha NAKUPENDA, SINTOKUACHA KAMWE, UKO PEKE YAKO, NITAKUOA
Utani gani mwingine unaujua?
sintokusalitiUkiacha NAKUPENDA, SINTOKUACHA KAMWE, UKO PEKE YAKO, NITAKUOA
Utani gani mwingine unaujua?
asee hii kaliJua la bandari hili huna nauli unaua winger (unatembea )mara unahisi kama umenusa harufu ya mishikaki kumbe korodani zako zimesagwa mpaka zinakaribia kuungua
Watu walio uwa winger pamoja na mimi mwenyewe wanaielewa vizuri hali hiyo.asee hii kali
Nimetoka kapa hapaPOWERFULL QUOTE OF THE DAY
"Wakati mwingine hautapewa nafasi lazima uitafute mwenyewe"
- Ziane Ndolla -
Ziane Ndolla ni nani? Huyu ni kondakta wa mabasi ya UDA. Sasa rudia na uisome upya......
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]Eti ni kweli kwa kiingereza mtoto mwizi anaitwa Wizkid.