```Kuna Methali zimekwisha muda wake wa matumizi.
Mfano:```
1. *Mwenzako akinyolewa tia maji.*
-Siku hizi tunanyoa kwa mashine. Ukitia maji zinateleza hazinyoleki.
2. *Barua ni nusu ya kuonana.*
-Siku hizi watu wanaonana kwa watsap. Mkingojea barua mtakufa bila kuonana.
3. *Akili ni nywele.*
-Vipi kuhusu Mawigi?
4. *Mchagua jembe si mkulima.*
-siku hizi tunatumia zaidi matrekta ya kukodi.
5. *Alalae usimuamshe akiamka utalala wewe.*
-siku hizi unaweka alam mwenyewe unaamka hausubiri kuamshwa na mtu.
6. *Polepole ndio mwendo.*
-siku hizi kuna mwendo kasi ukienda polepole utabaki kwenye foleni kutwa
*Hatupendi mambo ya kizamani...*
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]