Ngono zembe..Hivi sisi waafrika, ni mchezo gani mwingine ambao tukishiriki katika level ya kimataifa tunaweka heshima !? Ukiacha Soka?
😀😀😀😀😀😀😀Wana yanga wanavyopita kwenye meza za magazet kama wanatoa heshima za mwisho[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo apa pa fundi nguo pana foleni sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harusi sijui lini anapenda kushtukiza sana[emoji57][emoji57][emoji57]
Haa ha ha, we jamaa una roho mbaya sana haki ya nani! Haa ha ha ha!Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Khaa; haa ha haha!*Naona pharmacy huku kwetu hawa andiki tena DUKA LA MADAWA..*
*eti kaandika DUKA LA MTU ANAE UMWA*[emoji23][emoji23]
Makonda jaman
Haa ha haha, nyie watu mtanipasua mbavu zangu, haa haha!Dah lakini hizi mimba hua zinatunyosha
unakuta mwanamke wako ana mimba, na mmeshinda poa 2 mchana mzima, ikifika usiku kitu ka saa sita ivi anakuamsha,
"Bebi nipeleke petrol station niende kunusa petroli"
Mke wangu kwani unazaa Boda boda????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂Inauma sana kuachwa na mtu ulopanga kumuacha..
[emoji23][emoji23]