Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Ngono zembe..Hivi sisi waafrika, ni mchezo gani mwingine ambao tukishiriki katika level ya kimataifa tunaweka heshima !? Ukiacha Soka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngono zembe..Hivi sisi waafrika, ni mchezo gani mwingine ambao tukishiriki katika level ya kimataifa tunaweka heshima !? Ukiacha Soka?
😀😀😀😀😀😀😀Wana yanga wanavyopita kwenye meza za magazet kama wanatoa heshima za mwisho[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo apa pa fundi nguo pana foleni sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harusi sijui lini anapenda kushtukiza sana[emoji57][emoji57][emoji57]
Haa ha ha, we jamaa una roho mbaya sana haki ya nani! Haa ha ha ha!Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
Khaa; haa ha haha!*Naona pharmacy huku kwetu hawa andiki tena DUKA LA MADAWA..*
*eti kaandika DUKA LA MTU ANAE UMWA*[emoji23][emoji23]
Makonda jaman
Haa ha haha, nyie watu mtanipasua mbavu zangu, haa haha!Dah lakini hizi mimba hua zinatunyosha
unakuta mwanamke wako ana mimba, na mmeshinda poa 2 mchana mzima, ikifika usiku kitu ka saa sita ivi anakuamsha,
"Bebi nipeleke petrol station niende kunusa petroli"
Mke wangu kwani unazaa Boda boda????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂Inauma sana kuachwa na mtu ulopanga kumuacha..
[emoji23][emoji23]