Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mambo mengine muwe mnauliza abiria.

Saivi safari imeshindikana kisa mmasai kang'oa gia ya basi.

imekuwa hivi..Mmasai huyo na shuka lake kakaa karibu na dreva mbele na akawa makini sana na dreva. sasa tumefika Singida tukaenda kula wote yeye kabakia ndani ya gari.

alivyoona dreva anazungusha gia akafikiri anataka kung'oa ila imemshinda.

Tumetoka kula anamkabidhi dreva gia na kusema "yelow tayari nishakusaidia kung'oa ile chuma."
Hata hatujuw la kufanya.
 
Nilisikia konda wa basi akitoa matangazo kwa abiria wake kuwa wale wasiokuwa na ticketi waingie ndani ya basi wakatiwe, na Kila abiria achimbe dawa kabla basi halijaondoka as dereva akishaondoa gari hasimamishi.
Kweli luga gongana..
 
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.20,000/=.
Wakati nipo natafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.10,000/="
Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.20,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA

hapo nikawa nimewazidi ujanja[emoji16][emoji16]
Nimecheka sana kwa kweli..[emoji23][emoji23]
 
C
IMG_20181021_002907.jpg
 
Mouthology

A Professor was traveling by boat. On his way he asked the sailor:
“Do you know Biology, Ecology, Zoology, Geography, physiology?
The sailor said no to all his questions.
Professor: What the hell do you know on earth. You will die of illiteracy.
After a while the boat started sinking. The Sailor asked the Professor, do you know swiminology & escapology from sharkology?
The professor said no.
Sailor: “Well, sharkology & crocodilogy will eat your assology, headology & you will dieology because of your mouthology.
Du
 
Kuna demu nilikuwa na date naye hapa mtaani,juzi tulitofautiana kidogo,akatupa line yake ya simu chooni,akaniambia hataki mawasiliano na mimi,akaniambia kati ya wale wanaume mbwa aliowahi kukutana nao mimi ni mmoja wapo,basi jana nikamuona amevaa vizuri katoka na boda boda,hakurudi tenaa,huwezi amini nilijistukia kweli mimi mbwa baada ya kujikuta nimekaa nje ya geti lao mpaka saa nane usiku nikimsubiri arudi na hajarudi,hii ni story ya kweli lakini
 
Back
Top Bottom