Kwa nn[emoji1787]View attachment 898046
Kweli luga gongana..Nilisikia konda wa basi akitoa matangazo kwa abiria wake kuwa wale wasiokuwa na ticketi waingie ndani ya basi wakatiwe, na Kila abiria achimbe dawa kabla basi halijaondoka as dereva akishaondoa gari hasimamishi.
Nimecheka sana kwa kweli..[emoji23][emoji23]Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.20,000/=.
Wakati nipo natafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.10,000/="
Nikaamua nipande niende zangu MOROGORO.
Kwenda na kurudi sh.20,000/=.
Wakati wa kurudi nikamwmbia KONDA aniteremshe KIMARA
hapo nikawa nimewazidi ujanja[emoji16][emoji16]
DuMouthology
A Professor was traveling by boat. On his way he asked the sailor:
βDo you know Biology, Ecology, Zoology, Geography, physiology?
The sailor said no to all his questions.
Professor: What the hell do you know on earth. You will die of illiteracy.
After a while the boat started sinking. The Sailor asked the Professor, do you know swiminology & escapology from sharkology?
The professor said no.
Sailor: βWell, sharkology & crocodilogy will eat your assology, headology & you will dieology because of your mouthology.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nauliza gunia ya kuogea inakua soft after how long??
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hii Kali
Umenikumbusha zamani sana.This is how african people sweep their yard
((((((((((((((((((
))))))))))))))))))
(((((((((((((((((((
))))))))))))))))))
((((((((((((((((((
Siyo kwamba msukuma wa kweli ni yule anayepiga ugali mkubwa na mdogo, na anautumia ugali mdogo kama mboga ya ugali mkubwa?Msukuma ni nani?
Msukuma ni mtu anayepika ugali wa watu watatu halafu anaumaliza wote kwa kuonja tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] unataka likes kijanja eti!Ivi ni mm pekee yangu au Na nyie wenzangu naona kitufe cha likes hakifanyi kazi