Daaahh
Ha ha haaaa! Samaki kwa chambo, ndege kwa ndege kwa ulimbo![emoji23][emoji28][emoji38]chedheya wakati mtu kishakolea kwa nyapu!natamani ningekuwa na wewe kabla sijamuoa MKE wangu huu ni WIMBO wa taifa wa wanaume waliooa
Ujue umeingia ambapo sipo!Unaenda kutambulishwa nyumbani kwa mpenzi wako halafu baadaye unasikia sauti jikoni wanaongea "Umekiona kile kichwa". [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji3][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Umenivunja mbavu Mkuu. Mtu anapisha wateja wengine hadi hurumahakuna mtu anaeweza kuvumilia foleni ya dukani kama mkopaji, utasikia wahudimie hao kwanza
back again
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Yaani wewe....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468][emoji468]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe....
Chunguza vizuri. Mwanaume anapoongea na demu likely utakuta mikono kaweka mfukoni. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini? Ndo maana jamaa hapo juu ameamua tu kufunguka. Urijali una gharama [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji29][emoji29]Watani zangu...! MPO Unakuta unatumia Ela bila hata huruma... Lodge= 20,000/ Tsh Nauli =10,000/ Tsh Chakula na vinjwaji =30,000/ Tsh Condom aina ya RoughRider = 6000 Tsh Mwanamke unampa 20,000/ Tsh JUMLA 86000/= TSH [emoji23][emoji23][emoji23] Alafu Mamako home anaongea sabuni ya takasa ile ya kipande 200, na kitunguu anaomba kwa jirani hakika hakika nasema tena hakika mbingu utaisikia kwa Gwajima tu.
Jamaa huwa anarespond mapema. Physical appearance inatosha kumpa alert!Yaani wewe....
Chunguza vizuri. Mwanaume anapoongea na demu likely utakuta mikono kaweka mfukoni. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini? Ndo maana jamaa hapo juu ameamua tu kufunguka. Urijali una gharama [emoji16][emoji16][emoji16]
Snake wa Adam na Eva?Si kwa povu hili wallahi [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1017084
Mkuu rekebisha BALIMI ni ya wasukuma haswaa ikiwa na maana ya wakulima na siyo wahayaWasukuma watano walienda baa ila kwa bahati mbaya wakawa hawajui majina ya bia wanazozihitaji. Baadae wakaingia Wachaga watatu wakaagiza Kilimanjaro sita… Mda uleule akaja mkurya akaagiza Serengeti mbili… Hawajakaa sawa akaingia Muhaya akaagiza Balimi saba Wasukuma wakasema aanhaaaa… kumbe kila mtu anakunywa bia za kwaooo… Wakaanza; (kwa lafudhi ya kisukuma kwa kukundamiza) "… Wee limhudumu… Mhudumu; sema nawasikiliza mabosi. Wasukuma; (kwa kukandamiza) Leta-NYEHUNGE mbili USHILOMBO tatu, SHINYANGA nne, BHARIADI tano, na GEITA saba… !!! Mhudumu: (kwa hasira) "JASHIRAGAA….!!!" 😂😂😂😂😂😂
Hapo kuna gharama hujaziweka. Kwa classic manWatani zangu...! MPO Unakuta unatumia Ela bila hata huruma... Lodge= 20,000/ Tsh Nauli =10,000/ Tsh Chakula na vinjwaji =30,000/ Tsh Condom aina ya RoughRider = 6000 Tsh Mwanamke unampa 20,000/ Tsh JUMLA 86000/= TSH [emoji23][emoji23][emoji23] Alafu Mamako home anaongea sabuni ya takasa ile ya kipande 200, na kitunguu anaomba kwa jirani hakika hakika nasema tena hakika mbingu utaisikia kwa Gwajima tu.
Niwe mkweli. Namba 3.Hivi matokeo gani ukisubir yanaumiza kuliko yote. 1 matokeo ya kidato cha nne na sita 2.matokeo ya virusi vya ukimwi. 3 matokeo ya kumtongoza demu ukiwa unasubir majibu 4 matokeo ya kazi ukiwa umeomba?