Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Ujue umeingia ambapo sipo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe....

Chunguza vizuri. Mwanaume anapoongea na demu likely utakuta mikono kaweka mfukoni. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini? Ndo maana jamaa hapo juu ameamua tu kufunguka. Urijali una gharama [emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji29][emoji29]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe....

Chunguza vizuri. Mwanaume anapoongea na demu likely utakuta mikono kaweka mfukoni. Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini? Ndo maana jamaa hapo juu ameamua tu kufunguka. Urijali una gharama [emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa huwa anarespond mapema. Physical appearance inatosha kumpa alert!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu rekebisha BALIMI ni ya wasukuma haswaa ikiwa na maana ya wakulima na siyo wahaya
 
Hapo kuna gharama hujaziweka. Kwa classic man

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…