Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna binti mmoja yuko chuo nilikuwa nachat nae whatsapp, nikamuuliza vp uko poa na nipo gheto utakuja? akanijibu niko poa lakini sahv nipo "so tight", nikasema wow leo lazima kitanda kivunjike[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tangu saa nane mchana namsubiria hadi sasa bado hajafika, nahc itakuwa anachukua na shuka aje kulala huku[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] dooooh
 
We nae kiazi afu bashite
 
Jana dogo flani anaingia class nikammind, kwanini juzi hakuja shule. Akanjibu
"nilimpeleka ng'mbe wetu jike kwa mjomba kupandisha maana mjomba ana fahali."
Nikamuuliza,
"baba yako hawezi kufanya hiyo kazi"
Akanijibu,
"anaweza ila fahali la mjomba linafanya vizuri na kwa uhakika zaidi".

Sijui ndo niseme dogo hakutaka kutoa majibu mengi kwa maswali ya kijinga!!
 
Duuuu mkuu apo umeuwa kabsaaa
 
Ikijibana kucheka
Bado kfgo nhambeeeeee aiseeeeh


Kwakwakwakwa
 
Mkurya kapewa uji wa moto nyumbani kwake, kaunywa kwa haraka ili awahi kazini kaungua mdomo. Kufika kazini akaulizwa, "imekuwaje ukaungua mdomo?"
Akajibu "mama Bhoke kanipa uchi wa moto"[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio mimi, tatizo lafudhi
 
We mtu mbaya sana wewe[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Hii ngoma imenibamba jo[emoji4][emoji4]

[emoji666] [emoji820]──────── 03.40



Kuna mjinga kajaribu kuplay[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahah nilikuwa najaribu ku play hahahaha...April mosi bado jamani!
 
Jaman nmechekaaaa ad nguv zmeisha
 
Mlevi mmoja alilewa sana hadi kushindwa kurudi nyumbani kwake hivyo akalala jalalani, chizi alikwenda jalalani na kupekua pekua taka taka, bahati mbaya akamshika matako mlevi, mlevi akatikisika, chizi akaanza kujisemea "Watanzania bwana watu wa ajabu sana, matako mazima wameyatupa"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…