Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

umesahau "Rahatupu" bongo movie kama yote.😆😆😆😆😆anyway CHAPUTA usharudisha kadi?
 
(1)Footballer=1week = $300,000
(2)Graduate=100years = $300,000
(3)Yahooboy=4months = $300,000
(4)Teacher=500 years =$300,000
(5)Networker=6months = $300,000
(6)Drug dealer=2days =$300,000
(7)Politician=24hours = $300,000
(8)Armed robber=10mins = $300,000

I HAVE MADE MY CHOICE DON'T ASK ME WHAT I CHOSE CHOOSE YOURS WISELY



Sent using unknown device
 
9:freemason is just a minute.
Usiniulize sijui wako wapi?
But for me tukutane 2020
 
Je unajua lolote kuhusiana na tarehe mosi april?...

Ungana nami labda naweza kukutoa tongo tongo

Tarehe 1 ya mwezi wa nne kilamwaka ilianza kuitwa siku ya wajinga kama kumbukumbu ya Steve Aprili.

Steve April alizaliwa tarehe 1, ya mwezi wanne mwaka 1579 katika familia ya kitajiri huko Marekani.

Enzi za uhai wake alimiliki zaidi ya biashara 105 na bado alibaki kuwa masikini wa kutupwa. Alipoteza kila kitu kutokana na matumizi yake mabovu na familia ikamtenga.

Watu walianza kumwita Steve April baba wa wajinga, kwani alikuwa akiamini kila aina ya habari za uzushi na uongo kama hii unayoisoma hapa nw ukataka kuiamini hiii[emoji13]
 
Wanawake walio kwenye mahusiano na wanasaliti mabwana zao meno ya mbele yang'oke, miguu ipinde, wasisikie vizuri...

Ameen

BUT
Wanaume walio kwenye mahusiano na wanasaliti mademu zao mungu awasamehe kwasababu hatujui tutendalo

By
Karot.
 
KWA WANAWAKE
Njia 8 za kumfanya mwanaume awe na furaha na aman tele na atakupenda daima
1.usimuombe hela
2.sahau kabsa kuhusu hela
3.ukiwa nae usifikilie kuhusu hela
4.usitaje neno hela ukiwa karbu yake
5.akikupatia pesa usipokee
6.mkalipie sana kila anapojarbu kukupa hela
7.muonye akithubutu kukupa hela mtishe kama ukinipa hela nakuacha
8.mtishie kujiua kama akijarbu kukupa hela


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
😁😂😂😂😂 kusema kweli wakiwa hivyo counter tunahamishia nyumban
 
Umenikamata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa leo kila mmoja wenu naomba aniombee maana mwenzenu siwezi kuchomoka kupelekwa Keko, kama sio huko basi ni Segerea au Ukonga; Ni hivi nina mademu watatu na wote nimewapa mimba na wote ni wanafunzi, isitoshe ni watoto wa askari magereza. Kibaya zaidi hiyo ilikuwa ni ndoto niliyoota leo alfajiri [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]


ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
 
Mi huwa nakereka sana pale unapomwita dem wa chuo kisha ye akawa anaringa then akimcheki dem mwenyewe mwembamba kama ringtone ya Tecno
Kimoja leo asubuhi nimekaita kalidondosha 10,000 yake na mie nimeiokota ili nimpe kameringa kuitika.
Hapa natembea na toothpick, 10, 000 nimekula mishkaki [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]


ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
 
Wavuta Bangi sijui tunakwama wapi! Mnaona wenzetu Walevi kina Piere wameitwa Bungeni!? Sisi tunaishia vituo vya Polisi tu!
Tunafeli wapi[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]


ᴱᵛᵉʳʸᵇᵒᵈʸ ˡᵒᵛᵉˢ ᵃ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…