Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mfalme alitaka kujua idadi ya makahaba ktk mji wake akawaambia wajipange foleni kuhesabiwa.
wakapanga mara bibi kizee akapita akamuona mjukuu wake katika foleni akamuuliza kuna nini
hapa? mjukuu akamwambia "mfalme anagawa maembe bibi"
Bibi akaunga foleni kwa uroho wa maembe.
mfalme alipomfikia bibi akamuuliza hata wewe bibi? Bibi Akamjibu "mie tena ndio mtaalamu hadi kokwa
nanyonya"
mfalme akapoteza fahamu... [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

T[emoji769]
 
Mliozaliwa Siku Kama Ya Leo, Basi Mtakuwa Mmezaliwa Siku Moja Na Mwanamuziki wa Uingereza Elton John... Hii Ni Taarifa Tu Wakuu Msije Mkarusha Ngumi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Imagine umemsaidia msichana mzuri kubadilisha tairi ya gari yake. Siku nyingine unakutana nae unakosa story mpaka unamuuliza tairi linaendeleaje?* [emoji38][emoji38][emoji38]
 
*NIKO porini hapa Rafiki yangu ameng'atwa na NYOKA kichwani,nimemfunga kamba shingoni ili SUMU isisambae mwilini baada ya kurusha rusha mateke na ngumi sasa ametulia katoa macho tuu.........* *NADHANI SUMU NDIO INAISHIA SASA..*

[emoji23][emoji23]
😨😨😨shubamiiiiiiit. Mfukie wanyama wasiskie harufu wakawatafuna maana simu ya nyoka mwilini ni kama chachandu porini 😆😆😆.
 
Imeishaa hiyooo
IMG_20190327_012445_528.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli maisha hayako fair
Age15.:nataka kuwa Doctor bingwa. Form 4 unapata yai. Unajipongeza sio issue mi mwenyewe fighter nitatoboa tu
Age22.:unamiliki kabodaboda, nataka niwe kama mengi. Unaishia kuwa na watoto wa nje ya ndoa nyomi.
Age32: unawaza jinsi yakumpa sound maza hause. Vyuma mzee baba🔧🔩
Age39 and above...................ndio anaejua
 
At first Facebook came out with “someone poked you”
Then it came to “someone waved you”
Soon it’ll be "someone fingered you”

Utakuwa ukiamka asubuhi unakuta Kemi, nomi, jonte and 8 others fingered you[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh! Itakuwa mbaya, kha eti [emoji867]kabisaaaaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom