Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kutulisha ukoko wa pilau wenzio tu
Cheki mwishoni jamaa akimwaga mzigo jinsi anavyofyatua risasi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Deep blue sea
Screenshot_20190607-135248.jpeg
 
Waungwana kama utamsikia mtu anauza gari aina ya v8 new model nzuri, ina vibali vyote.
Kwa bei kati ya milion 600 mpaka 500 rangi yoyote haina shida. Wee mwache tu auze mi sina hela
[emoji18][emoji18][emoji18][emoji19][emoji19][emoji19]
Mkuu, umeanza kwa kuonesha nguvu zako, ghafla imesinyaa!!
 
Yaani jinsi nilivyofulia "Wapendwa nauza mbwa wangu, huwa namtumia kwenye ulinzi" walau nipate hela ya kujikimu ile kazi ya kubweka usiku nitabweka mwenyewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
NI MARUFUKU KWA MSICHANA MWEMBAMBA KUCHEZA NYIMBO YA TETEMA, TUKIKUSHIKA UTATUELEZA UNATETEMESHA NINI WAKAT TAKO HUNA
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Waungwana kama utamsikia mtu anauza gari aina ya v8 new model nzuri, ina vibali vyote.
Kwa bei kati ya milion 600 mpaka 500 rangi yoyote haina shida. Wee mwache tu auze mi sina hela
[emoji18][emoji18][emoji18][emoji19][emoji19][emoji19]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahaha
NI MARUFUKU KWA MSICHANA MWEMBAMBA KUCHEZA NYIMBO YA TETEMA, TUKIKUSHIKA UTATUELEZA UNATETEMESHA NINI WAKAT TAKO HUNA
[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Back
Top Bottom