Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kuna watu walikuwa wanaandika miaka tofauti na ile waliozaliwa unakuta mtu kazaliwa 1978 anaandika amezaliwa 1992 ili akija kuajiriwa adumu kazini asiwahi kustafu cha ajabu wamesoma lakini hadi sahivi hawajaajiriwa.
 
Gud
 
Kwa wale wahenga wenzangu mnaokumbuka ile miondoko ya Sakayonsa [emoji16][emoji16][emoji16] Ndio nimetoka kuicheza hapa bada ya kujibana nyeti zangu na Zipo/zipu ya Jinzi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Ni vyema sana kwa ucheshi maana huchangamsha akili na kumuweka mtu hulu..lakini cha ajabu kila baada ya sms mbili kushuka chino unakutana na ucheshi wenye maudhui ya matusi.sisi waTanzania sijui tuna tatizo gani
 
Ni vyema sana kwa ucheshi maana huchangamsha akili na kumuweka mtu hulu..lakini cha ajabu kila baada ya sms mbili kushuka chino unakutana na ucheshi wenye maudhui ya matusi.sisi waTanzania sijui tuna tatizo gani
Tunapenda sana nyuchi, keshokutwa idadi yetu itakuwa 57,000,000 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…