Mtoboatonge.
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 242
- 74
HahahahahFinalist inawahusu hii.View attachment 1164923
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahFinalist inawahusu hii.View attachment 1164923
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii kali
Mi kilaza sijaelewaThis is for real.View attachment 1186122
[emoji3][emoji3] daah ulikuwa unakosa mengi ila hujachelewa karibuDah nilikuwa sijawahi kuuona huu uzi hahahaha
Yaan huwa nacheka mpk nalia[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3] daah ulikuwa unakosa mengi ila hujachelewa karibu
Yaani acha tuYaan huwa nacheka mpk nalia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni burudani tupu
Ukivisoma mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja
Leo kidogo nipigwe na mwanamke baada ya lifti kusimama,wakati tupo kwenye lifti Nilikua nayaangalia maziwa yake akasema "Bonyeza Moja" mimi si nikalibonyeza yaani hadi sasa bado najiuuliza nilipokosea ?
Hivi utajisikieje utakaposikia rafiki yako wa karibu hajaja kwenye mazishi yako ?Nadhani mimi sitamwongelesha tena !
nafikiri nakaribia kupona
Nimenunua chips ili nile kwa bahati mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa karibu na mimi akaanza kuzililia.imebidi nivae earphones,napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
Jana nimepita njia ya mkato makaburini, warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka eti tunaogopa kupita peke yetu na mm nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa..
Tunapenda sana nyuchi, keshokutwa idadi yetu itakuwa 57,000,000 [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Ni vyema sana kwa ucheshi maana huchangamsha akili na kumuweka mtu hulu..lakini cha ajabu kila baada ya sms mbili kushuka chino unakutana na ucheshi wenye maudhui ya matusi.sisi waTanzania sijui tuna tatizo gani
Umewalenga wadada wa kihaya moja kwa mojaWadada wa MjiniView attachment 1186550