Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Jeshini bana! Eti afande anakwita jina we ni kuitika neno afande, hata ukiulizwa jina unatakiwa utaje jina lako kisha umalizie na neno afande! Sasa kuna dogo (askari) anaitwa Mboya kalizua huko [emoji38][emoji38][emoji38]
Afande: We askari unaitwa nani?
Askari (dogo): Naitwa Mboya
Afande:
Unaitwa nani? (kwa ukali)
Askari (dogo): Naitwa Mbooya Mboo ya Afande!
Afande: Huna adabu!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Ni
Nice
 
 
Ushawahi kupelekwa mbio na maisha hadi ukaona tofauti yako na pikipiki ni mafuta tu?? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Juzi nilipomsikia Mkuu wa mkoa Dar Es Salaam akisema biashara ziwe kwa mfumo wa take away nilifurahi sana kwa vile itapunguza misongamano. Lakini naona hii kauli bado kuna sehemu hawaizingatii! Jana nimezunguka sana usiku maeneo ya Sokota, Kona bar, Sinza, Kimboka, Batoto, wameshindwa kuniwekea ile bidhaa kwenye take away! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Hii kiboko khaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kmmk na lakumfanya huna kajiongeza zake😄
 
Vyoo vya uswazi noma sana unaingia chooni kufanya mambo yako Halafu by the time unajikaza mzigo utoke Unaona mlangoni pameandikwa


"UNGEKUWA UNAJIKAZA HIVYO MAISHANI UNGESHANUNUA PRADO"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using myLG leon
Choo hadi kiandikwe hivyo unajua kabisa hayo maeneo ni maeneo ya namna ya watu hao hao ,( Wahuni )
 
Usioge, nipaje sanitaiza alafu subiri kiporo kije
 
Tatizo unakula bangi zilizo komaa sana
 
Muda mwingine ukila bangi bora utafute sehemu ukalale kwanza maana maisha jinsi yanavyokupeleka resi unaweza kudhani kuwa kokoto ni mbegu za mawe [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…