Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hakuna vidada vinavyoona maisha wameyapatia kipindi hiki cha Covid 19 kama vile vinavyovaa mask na miwani [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398][emoji769]
 
 
Tangazo.
Tukielekea mwishoni mwa mfungo
Kwa wale wote ambao wamefunga na hawajapungua mwili.... ....Mjue hamkufunga bali mlibadilisha ratiba ya kula [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᡃʳᡉᡉᡐ [emoji769]
 
Jana nimevaa kanzu yangu na barakashia mpya kabisa, nipo zangu barabarani natembea wakati nataka nivuke mtaro kwa kuruka.... Nikajikuta nimekula kata funua moja matata sana..[emoji38][emoji38][emoji38] nahisi ni shetani tu ndio kanipiga ila nimegundua sababu ya wadada wakivaa madera kwanini wanayashikilia na kuyapandisha juu kuchomekea kwenye chupi...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᡃʳᡉᡉᡐ [emoji769]
 
Wale mliokuwa mkiwavalisha Mbuzi barakoa ili njiani wasile mazao ya watu
wakienda kwenye malisho....Hivi tangu na nyie mlipoanza kuvaa mnajiskiaje?! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᡃʳᡉᡉᡐ [emoji769]
 
Kama unavyojiskia wewe ukivaa barakoa basi hata Mbuzi nae alikuwa anajiskia hivi hivi. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

[emoji2398]ᡃʳᡉᡉᡐ [emoji769]
 
It was my first time in court, and I heard the Judge saying "Order!!" and I replied Rice, Chicken and Juice.[emoji490][emoji484][emoji500]
Now two Police officers [emoji61][emoji61]are escorting me outside.
I think we are going to the restaurant
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
I remember the time I got dumped at 1:42 AM and started asking myself why I didn't sleep early like a normal human being all that time[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah. Inauma hiii. Hadi unahisi mbu wanakucheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using myLG leon
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ, haya bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…