toroka uje mjini
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,584
- 2,111
Muulze kwanza kabla hujampa nauli, labda ni za akiba na kwao hazipatikani kirahisi![emoji38][emoji23] [emoji23]MISION IMPOSIBLE NI PALE UNAENDA KUMPOKEA DEMU STAND UNAENDA NAE DUKANI UNANUNUA KONDOM NA YEYE ANANUNUA PEDI
LAZIMA UMPE NAULI ARUDI KWAO AJE SIKU NYENGINE[emoji28][emoji3][emoji3][emoji1][emoji2][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Jinsi ya kuvuka barabara pale baghdadi Iraq .....tazama kulia tazama kushoto kama hakuna gari kisha tazama juu kama hakuna rocket karibu kisha tazama nyuma kama hakuna terrorist na kisha tazama ulipokanyaga kama hakuna Bomu LA kutegwa na kisha vuka barabara kwa zigzaga kukwepa risasi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Njomba nchumali huyo...[emoji23] [emoji23]Jana bado kidogo nichapwe makofi na jirani yangu, si aliniona nimeuwa panya kwa sumu, [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ilikuwa balaa. Kwa vile sipendi tabu nimemwambia tu exchange nyumba ye aingie kwangu mi niingie kwake hadi panya watakapokwisha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji481] [emoji481] na [emoji377] [emoji377] hazidanganyi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niko zangu Mbuga za wanyama hapa nimeshuka kwenye gari naona simba wengi wananikimbilia nahisi wanataka kuniwaooooh
Bangi siipendi lakin natumia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka kwa sauti [emoji23]Nipo chooni, mtu amegonga mlango nikaguna mmmmmmmhhhhh! Akauliza kuna mtu, nimemjibu hapana unaongea na Mavi[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]MUGABE NAE KWA MAJIBU ANATISHA
SWALI:Kwanini wanasiasa wala rushwa hawaendi jela ?
MUGABE! Hii ni sawa na mbu anayeng'ata kwenye pumbu hawezi kupigwa kofi zito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Du[emoji15].....Juzi nilimnunulia wife vile vichupi vyenye Kamba(Bikini)
Basi unaambiwa kuna siku nimetoka zangu bar kupata Yale mambo ya kikubwa(beer), Ile nimefika home ilikua almost 5:30pm
Nikamkuta wife amelala kifudifudi huku amevaa kale kachupi!!
Basi acha nianze kucheka mpaka wife akaamka
Wife: Vipi baba anduje mbona unacheka?
Mimi: Acha tu mke wangu yaani tangu nizaliwe sijawahi ona matak** yamevaa ndala....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
tatizo la tecno ni nini acha kujikweza ww..wenye vi-tecno vyetu sasa....kusubscribe kwa juu ndo wapi?pale kwenye exit?