Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa unapelekwa kolomije secondary school ukaanze form one maana hesabu yao umeikosea(serious) kuisolve!Jana nilipitia pale Polisi Sentro nikaona yale magari yao rangi ya blue mawili yameandika 4WD mi nikaisolve
4WD x 4WD = 16 + W² + D²
Hapa nipo kwenye Defender sijui ndio napelekwa Mlimani-Chuo kikuu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hesabu ndogo tu imewashinda[emoji34] siku zote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nipo chooni, mtu amegonga mlango nikaguna mmmmmmmhhhhh! Akauliza kuna mtu, nimemjibu hapana unaongea na Mavi[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
hahahahahahahaaaaaaKuoa mwanamke asiye na elimu raha sana.! jana kanitight baby unaenda wapi jioni yote hii.?!
Nkamjibu baby naenda mbeya kubadirisha profile picture. Akajibu; sawa honey safari njema.
Kwani kitumbua kipi kinaliwa sanaHivi kitu gani kinavuliwa saana?
CHUPI au SAMAKI?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaha teh teh teh
Mi mgeni hapaKwani kitumbua kipi kinaliwa sana
hahahaaaaaa kweli bhanaSiku Serikali yetu ikipiga marufuku WIGI na NYWELE ZA KUBANDIKA..WAtoto watapata shida na tabu saana kuwafaham mama zao
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38][emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama demu wako hatikisiki kalio wakati anapiga mswaki basi jua huyo ni msela mwenzako[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]