Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Ninakama miez miwil hv sijawah kufagia ghetto
wala kufua shuka bi mkubwa kanisema mpaka
kachoka, jana nipo zangu kitaan nikakuta cm
yangu inaita namba ngen kupokea nasikia sauti
tamu ya mtoto wakike kuuliza nan ananiambia
neema jiran yetu akaniambia Leo anatakakuja
ghetto kusoma nikafurah balaa. Leo nimeamka
nikapiga deki nikafua mashuka nikatoa mauchafu
hadi juu ya bati daaa mother ananicheka kinoma
huku anasema mtoto neema kanipatia na uchafu
wangu hapa nimempigia cm neema namuuliza
kama anakuja ananiambia nimkome alitumwa na
mama yangu tu ili nifue mashuka na kufanya
usafi ghetto eti nimezid uchafu.Hivi nnavyo kuwambia narudisha uchafu wote ndani! Sipendagi ujunga mimi [emoji57][emoji57][emoji57]
Du unakaa jalala kumbe
 
SHEMEJI LAMBA HARAKA TUMALIZE NATAKA NIKAOGE, Jamaa kusikia vile akavunja mlango kwa hasira na kuingia ndani, kakuta mkewe na ndugu yake WANACHEZA KARATA"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu nomaa asee!
 
Nenda kapokee barua ya lidandas[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] unaleta[emoji481] [emoji481] zako kazini
kwa kweli nimeambiwa eti nipishe uchunguzi sijui wanaenda kunichunguza akili muhimbili.
 
kwa kweli nimeambiwa eti nipishe uchunguzi sijui wanaenda kunichunguza akili muhimbili.
Itakuwa wanakwenda kukuchunguza nyumbani kwako, kama unakula mlenda au dagaa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Breaking news
Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na kufanya tukio lisilojulikana na kutokomea pasipojulikana na mpaka sasa hakuna kinachojulikana na mm nnachokisema bado hakijajulikana....

Bangi siachii....
 
*Tulikua kwenye basi tunaelekea arusha, ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua kwenye spidi hatari,* *nikaenda kumziba macho nikamuuliza* otea mi ni nani, kabla hajanijibu nikasikia kishindo kikubwa sana
na sasa hivi nimezinduka naona abiria wote tupo wodi namba 3 hapa KCMC Moshi nafkiri stendi imehamishiwa huku sikuizi.
[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]

*Akili zangu nazijua mwenyewe!!!*
 
6d3ff5f5cc804fd897b22c8878dc58dc.jpg

[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]kitambi kimeokotwa mwenye nacho aje achukuee km shida wote tunazooo......msituletee upuuzi WA kutupa vitu hovyo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
6d3ff5f5cc804fd897b22c8878dc58dc.jpg

[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]kitambi kimeokotwa mwenye nacho aje achukuee km shida wote tunazooo......msituletee upuuzi WA kutupa vitu hovyo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😀😀😀
 
Eti nyie mnasema bangi mbaya mm nimevuta
pafu mbili saiv nko apa kituo cha [HASHTAG]#polis[/HASHTAG] na [HASHTAG]#mpenzi[/HASHTAG] wangu naulizia chumba
 
MKE: Una mpango gani na Pasaka hii, mume wangu?
MUME: Nitafanya kama Yesu...
MKE: Una maanisha nini???
MUME: Nitaondoka Ijumaa na kurudi Jumatatu...
MKE: Unanishangaza!... Kama utafanya hivyo, nami nitafanya kama Maria...
MUME: Unamaanisha nini?
MKE: Nitapata mimba bila ya kuingiliwa na wewe mume wangu...


Mume yuko hospitali, haongei hadi sasa, anapumulia gesi!...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
*MVULANA AMNYONYA MATITI MSICHANA KANISANI*




Nilikuwa kanisani, kuna mvulana na msichana walikaa jirani na mimi.Nikapigwa na butwaa kuona msichana anavuta blauzi yake na baadae sidiria na mvulana kuanza kunyonya chuchu utadhani hakuna watu waliokuwa wanawatazama,msichana alikuwa na miaka 28 na mvulana miezi 3.

Ahsante kwa kusoma, (Mungu akusamehe kwa mawazo yako machafu)


Nipo nyumbani,njoo unipige!!



_akili zangu bhana dah_
 
Niko Bar nimekaa peke yangu mezani wakat meza zingine zote zina mtu na demu wake. Sasa nimejidai napiga simu
*Hallo namuona mke wako yuko na mwanaume hapa bar wanakunywa pombe pamoja*
Kwa sauti kila mtu anasikia,
Mara wale wadada wote wamekimbia tumebaki tunangaliana wanaume wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Cwez kaa mwenyewe mm.
 
Polisi amesimamisha taxi akauliza, dereva mbn number za mbele haifanani na za nyuma? Dereva akamjib... Wewe kwani uso wako unafanana na matako yako? 2mecheeeka sana!! Katupakia kwenye defender nadhani anaenda kutupa ofa ya bia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom