Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

subscribed for the later use!!![emoji28] [emoji28] [emoji23]
 
Ukigombana na mkeo mwache aende kwao, using'ang'ane kutuma watu huko kumrudishaa.
Tunajua majirani wana fitina sana, so what you do, nenda kariakoo nunua chupi tano kubwa kubwa colours tofauti.
Zifue alafu anika mapema kwenye kamba ya mlango yako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Watampigia mkeo simu wakimuambia sasa ameleta mwingine mwenye chura kukushinda wewe.
Kesho yake asubuhi utaona wife yuko mlangoni na kilio juu, na kuanzisha vurugu mwisho wa ugomvi atakwambia na siondoki mpaka nimuone huyo malaya wako, Watu ni kusaidiana bana!!![emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
 
Tupo Hostel tumepumzika na rafiki yangu hapa, ameniuliza eti mtu "kwa nini unapenda kuchat na ex wako" ? Nami nikamuuliza wewe hujawahi tumia past papers kufanya revision? [emoji23][emoji23][emoji23]
Noma[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bleaching your skin till you shine brighter than your future is not a problem, the problem is having White Face, Yellow Hands, Chocolate Lips, and Black Legs..My sister are you a zebra?
 
Breaking News:

Na Mimi nimetekwa na mwanamke wa Kitanga asiyejulikana ,nipo sehemu isiyojulikana ila yeye yupo na kanga moja Mimi kanipa kitenge chake,msinitafute endeleeni na mambo yenu tu

Mniache tu mie [emoji119]
 
Tupo Hostel tumepumzika na rafiki yangu hapa, ameniuliza eti mtu "kwa nini unapenda kuchat na ex wako" ? Nami nikamuuliza wewe hujawahi tumia past papers kufanya revision? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha
 
Hahaha nalo neno
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
*Oya wanangu nimeona vijeneza vizuri vya mtumba, vinauzwa bei chee tu tena saizi yenu kabisaa vipi niwachukulie mtakuja kunipa hela yangu? Vizuri kinoma vina feni na sehemu ya kuchajia simu na fire extinguisher kama mkienda moton. vp niwachukulie!*

[emoji124]‍♀[emoji124]‍♀[emoji119][emoji39][emoji39]
 
Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika

1. UGALI NA KUNDE
Mwitaji : sumaaa
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Uje ukule

2. UGALI NA SAMAKI
Mwitaji: we sumaa
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Unaitwa na Mama

3. WALI NA NYAMA/KUKU
Mwitaji: sumaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mwitikiaji : Eeeh
Mwitaji : Shauri yako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…