Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tecno T429??sio bure wewetatizo la tecno ni nini acha kujikweza ww..
hakuna atafanya wa samsung mi tecno nisifanye
*ENZI ZA SEKONDARI*
*John ana miaka 10 pungufu ya Baba yake mama yake ana miaka 40, miaka 20 zaidi ya john.Tafuta umri wa..*
*1.john*
*2.Baba*
*3.Mama*
*......Hilo swali nilikuwa naliruka...Sio kwamba* *nilikuwa siliwezi ni basi tu sipendi kuingilia mambo ya familia za* *watu*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *mwalimu wangu nsameh* *umbeya spendi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Njia bora ya kumfanya mtu akukumbuke zaidi ya wazazi wake ni kumkopa tu!!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Noma[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tupo Hostel tumepumzika na rafiki yangu hapa, ameniuliza eti mtu "kwa nini unapenda kuchat na ex wako" ? Nami nikamuuliza wewe hujawahi tumia past papers kufanya revision? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji32] [emoji32] [emoji32][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23]Bleaching your skin till you shine brighter than your future is not a problem, the problem is having White Face, Yellow Hands, Chocolate Lips, and Black Legs..My sister are you a zebra?
HahahaTupo Hostel tumepumzika na rafiki yangu hapa, ameniuliza eti mtu "kwa nini unapenda kuchat na ex wako" ? Nami nikamuuliza wewe hujawahi tumia past papers kufanya revision? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha nalo nenoUkigombana na mkeo mwache aende kwao, using'ang'ane kutuma watu huko kumrudishaa.
Tunajua majirani wana fitina sana, so what you do, nenda kariakoo nunua chupi tano kubwa kubwa colours tofauti.
Zifue alafu anika mapema kwenye kamba ya mlango yako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Watampigia mkeo simu wakimuambia sasa ameleta mwingine mwenye chura kukushinda wewe.
Kesho yake asubuhi utaona wife yuko mlangoni na kilio juu, na kuanzisha vurugu mwisho wa ugomvi atakwambia na siondoki mpaka nimuone huyo malaya wako, Watu ni kusaidiana bana!!![emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Niko Bar nimekaa peke yangu mezani wakat meza zingine zote zina mtu na demu wake. Sasa nimejidai napiga simu
*Hallo namuona mke wako yuko na mwanaume hapa bar wanakunywa pombe pamoja*
Kwa sauti kila mtu anasikia,
Mara wale wadada wote wamekimbia tumebaki tunangaliana wanaume wenyewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cwez kaa mwenyewe mm.