[emoji38] [emoji38]Money is evil
Jamaa mmoja karudi mapema kutoka Kazini mpole!
MKEWE: Vipi leo mbona mapema na mpole hivyo?
MUME: Ofisi yetu imeungua Moto na watu wote wamekufa.
MKEWE: Sasa ilikuwaje wewe ukapona?
MUME: Nilikuwa chooni, nje kidogo na ofisi.
MKEWE: Loh maskini familia zao zitakuwaje?
MUME: Watalipwa milioni 200 kila mfiwa.
MKEWE: Akahamaki kwa hasira, "Ona sasa kunyakunya kwako ovyo umetukosesha mihela yote!!
Hebu rudi huko kabla moto haujazimika!....[emoji85][emoji85][emoji125][emoji125]
Mzee majuto ana mrija
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenifanya nicheke kweny basi kwanguvu kweli kila m2 ananixhangaa now [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Kila nkienda kwenye harusi wazee wananiambia "bado wewe tu"*
*Na mimi nimeanza kuwaambia hivyo hivyo tukikutana kwenye mazishi*
hahahahahaaaaaaaKati ya Vitu vinavyomfurahisha mwanaume akiwa na demu mgeni chumbani ni pale demu atakaposema " Kafunge kwanza mlango vizuri "
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo mbio zake harmorapa anasubiri
Jamaa wanakufananisha na kituko, hatari kwelikweli, ila lisemwalo lipo au lajaHapana mkuu, Abunuwasi si wa kusadikika?
Mimi siyo wa kusadikika yaani mimi siyo wa kwenye hadithi, ni mtu live!
Alipotekewa Roma.Mida hii Yuda Iskariote ndio yupo njiani kwenda kupokea fedha amsaliti Yesu jamani[emoji16][emoji16]..... Hivi hamjui anapita njia ipi tukamteke?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hilo jibu sasa Me hoiKuna mdada hapa nimemuuliza anasema kilichokuwa kinawaliza zamani ni midume ya enzi hizo kuwa na madushe marefu na manene hivyo mdada akifikiria kwenda kulitumikia dushe kubwa kama la punda lazima kwanza alie.!
Ila eti siku hizi madume wengi wana "vifuniko vya peni"
a.k.a. Vibamia hivyo bibi harusi wengi hawana hofu tena.!
I[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duhLeo asubui nmetoka zangu dar kwenda kijijini kwetu huko bukoba,njian nkaingia jf kuchek uzi mpya nkakutana na hii KAMA UNA STRESS INGIA HAPA kufika Dodoma basi likaingia hotelini,nmeagiza msosi huku napunguza stress na huu uzi nmekuja zinduka nmebaki mwenyewe nauliza nambiwa basi lina lisaa tangu liondoke
[emoji15] [emoji15] [emoji15]..bado sina stress[emoji32] [emoji32] ila ata hela ya kulipa msosi nlisahau kwenye beg[emoji27] [emoji27]
ki-booster.Mzee majuto ana mrija