sharifa mohamedi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 247
- 266
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]kitambi kimeokotwa mwenye nacho aje achukuee km shida wote tunazooo......msituletee upuuzi WA kutupa vitu hovyo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Itakuwa. 60 years [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji29] [emoji29]*KAMA UKITEMBEA NA MWANAFUNZI UNAKWENDA JELA MIAKA 30.*
_NAJIULIZA IKIWA UTAKUTWA UNAKIMBIA NAE ITAKUWA MINGAPi_
Hahhahaha.......Utafiti Unaonesha Yule Mwanaume Alieanzisha Msemo Wa "Ladies First"
Hana Lolote.
Alitaka Tu Mwanamke Atangulie Ili Amuangalie Makalio...[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafiti Nimeamka[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah mbavu zanguJamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu..
Mke Akakubali sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala[emoji42] [emoji42]
Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
bado mke kalala..
Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo hebu mwamshe maza huyu mtu asije akatuunguza bure...."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu dogo ni wa kupiga fimbo nyingi sana,, asipend kufatilia ya wakubwa!!!Jamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu..
Mke Akakubali sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala[emoji42] [emoji42]
Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
bado mke kalala..
Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo hebu mwamshe maza huyu mtu asije akatuunguza bure...."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha ha ha ha haaa
Magufuli: I wish icould be electricity. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23].......Utafiti Unaonesha Yule Mwanaume Alieanzisha Msemo Wa "Ladies First"
Hana Lolote.
Alitaka Tu Mwanamke Atangulie Ili Amuangalie Makalio...[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafiti Nimeamka[emoji23]