Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

1
2
3
4
5
6 7
8
9
10
11
12 13
14
15
16
17
18 19
20
21
22
23
24 25
26
27
28
29
30 31
32
33
34
35
36 37
38
39
40
41
42 43
44
45
46
47
48 49
50
51
52
53
54 55
56
57
58
59
60 61
62
63
64
65
66 67
68
69
70
71
72 73
74
75
76
77
78 79
80
81
82
83
84 85
86
87
88
89
90 91
92
93
94
95
96 97
98
99
100
101
102 103
104
105
106
107
108 109
110
111
112
113
114 115
116
117
118
119
120 121
122
123
124
125
126 127
128
129
130
131
132 133
134
135
136
137
138 139
140
141
142
143
144 145
146
147
148
149
150 151
152
153
154
155
156 157
158
159
160
161
162 163
164
165
166
167
168 169
170
171
172
173
174 175
176
177
178
179
180 181
182
183
184
185
186 187
188
189
190
191
192 193
194
195
196
197
198 199
200
201
202
203
204 205
206
207
208
209
210 211
212
213
214
215
216 217
218
219
220
221
222 223
224
225
226
227
228 229
230
231
232
233
234 2
 
6d3ff5f5cc804fd897b22c8878dc58dc.jpg

[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]kitambi kimeokotwa mwenye nacho aje achukuee km shida wote tunazooo......msituletee upuuzi WA kutupa vitu hovyo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
UKIAMBIWA "GOOD NIGHT" SAA MBILI UJUE KUNA MWENZAKO ANAAMBIWA HAYA "NIAMBIE"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hapo ndo utajua Mapenzi safari na wewe huna Nauli

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
*KAMA UKITEMBEA NA MWANAFUNZI UNAKWENDA JELA MIAKA 30.*
_NAJIULIZA IKIWA UTAKUTWA UNAKIMBIA NAE ITAKUWA MINGAPi_
Itakuwa. 60 years [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji29] [emoji29]
 
Kumbe UDA ndio amemsaliti YESU, leo asubuhi nilipokuwa kituo cha daladala si nikaona gari lao, usafiri wa Mbagala mgumu na gari lao lilikuwa na abiria wachache lakini sikupanda[emoji34] [emoji34] Shenzy zao wasije kunisaliti na mimi.

Leo nimevuta bangi chooni[emoji34] [emoji34] [emoji377]
 
Yule Binti aliyekupenda kwa kumchorea Ramani ya TANZANIA darasa la Nne .. Mtafute leo kwenye Ramani hiyo hiyo uone alivyojificha Kigomaaa anakula bata na Jamaa asiyejua kuchora hata Embe. [emoji13][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Jamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu..
Mke Akakubali sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala[emoji42] [emoji42]

Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
bado mke kalala..
Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo hebu mwamshe maza huyu mtu asije akatuunguza bure...."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu..
Mke Akakubali sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala[emoji42] [emoji42]

Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
bado mke kalala..
Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo hebu mwamshe maza huyu mtu asije akatuunguza bure...."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah mbavu zangu
 
Jamaa analala yeye na mke wake na watoto wote chumba kimoja. Akamwambia mke wake wacha tujinyooshe wakishalala watoto, ukiona nawasha kibiriti nazima ujue nakuita njoo kwangu..
Mke Akakubali sawa mume wangu, mke ukamchukua usingizi akalala[emoji42] [emoji42]

Mume akaanza kuwasha na kuzima.
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
Washa kuzima..
bado mke kalala..
Mmoja kati ya watoto akamwambia ndugu yake..
"Dogo hebu mwamshe maza huyu mtu asije akatuunguza bure...."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyu dogo ni wa kupiga fimbo nyingi sana,, asipend kufatilia ya wakubwa!!!
 
Back
Top Bottom