Subscribe kuna option ipo hapo juu kulia mwa device yako,ina alama ya tick,click hapo mkuuHivi ni njia gani yakufanya ili mtu awe anaona huu uzi kila saa maana unapoteaga
Hahahahahaaaaaaaaaa [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Meli ilizidiwa na mizigo, ikabidi watu mbali mbali watupe vitu vyao:
Mzungu akatupa computer akasema kwetu zipo tele!
Mchina akatupa mabox ya simu akasema kwetu zipo tele!!
Masai akatupa shanga akasema kwetu zipo tele!
Mzenji akaangalia cha kutupa kakosa, akamuona Masai mmoja akamchukua na kumtupa, watu wakamuuluza "Mbona umemtupa Masai" akajibu wapo wengi darajani.
ThethethethethethethethethethwthethethetheOkay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..
Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai
Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pilipili hohoWadau samahani msaada wa haraka tafadhali:
Ninapika pilau hapa. Sasa nimesahau kidogo. Hivi nikishaweka mahindi nini kinafuata?
My riba,Basi utaondoka na stress..!
Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Future [emoji289]
Hahahahaha daah.......Utafiti Unaonesha Yule Mwanaume Alieanzisha Msemo Wa "Ladies First"
Hana Lolote.
Alitaka Tu Mwanamke Atangulie Ili Amuangalie Makalio...[emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafiti Nimeamka[emoji23]
Wabongo ni wabongo tu, acha waitwe wabongo [emoji119] [emoji119] [emoji119]Kuna demu kaweka status yake kuwa "wanaume wote mbuzi" nikamuuliza; "Wewe Baba yako umemkatia majani?"
Sasa hivi nikimtumia msg hazipokelewi nahisi kazima simu kwanza anaenda kumkatia majani!
Hahahahahahaaaaaaa,Girlfriend: Boo boo naomba simu yako nicheze 'candy crush'
Boyfriend: Chukua
Girlfriend: Hee na Lucy ndo nani?
Boyfriend: Hiyo ni level gani umefika? Mimi sijafika huko bado...
...
Mi sikimbii naye, bora nikae nae ili hiyo miaka ipungue hata ubaki mmoja tu.*KAMA UKITEMBEA NA MWANAFUNZI UNAKWENDA JELA MIAKA 30.*
_NAJIULIZA IKIWA UTAKUTWA UNAKIMBIA NAE ITAKUWA MINGAPi_
Utaitwa kwenye kamati ya maadili ya bunge, unamtusi supika.Pale unambiwa mbona unakuwa kama bashite, unauliza ndo nini, wanakujibu wewe ni zero tu huna maana yeyote...hata mpaka sahivi sijapata jibu au mimi ni mtu maarufu sana duniani?
hahahahahahaha bashite hahhahahahahahahahaha bashiteWanasema ukimcheka mtu unakuwa kama yeye...
Hahahaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]hahaahaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Bakhresa[emoji23]hahaaa[emoji23][emoji23]hahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahahaHuu Ufala wa Madem Huwa Mnavaa Earings Kwa Mapua, Ulimi, Masikio sijui kwa Uso...Maneckless ka mia Mbili...!!!
Mwingine ameanguka jana Town ametoa sauti Ka sufuria[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupwangalangichikong'oung'enkikounkong'ouu!