Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
"Tanua! mi naogopa, tanua kidogo! mi naogopa, unaogopa nini? nitatoka damu, tanua basi nitakufanyia pole pole"
"basi sawa lakini usiniumize"
[emoji115] Ni sauti zilizosikika kutoka chumbani kwa daktari wa meno alipokuwa akiongea na mgonjwa aliekwenda kung'oa jino
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umewaza nini? post wewe basi, huishi kufikiria vibaya tu muda wote[emoji34] [emoji34]
"basi sawa lakini usiniumize"
[emoji115] Ni sauti zilizosikika kutoka chumbani kwa daktari wa meno alipokuwa akiongea na mgonjwa aliekwenda kung'oa jino
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umewaza nini? post wewe basi, huishi kufikiria vibaya tu muda wote[emoji34] [emoji34]