Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

"Tanua! mi naogopa, tanua kidogo! mi naogopa, unaogopa nini? nitatoka damu, tanua basi nitakufanyia pole pole"
"basi sawa lakini usiniumize"
[emoji115] Ni sauti zilizosikika kutoka chumbani kwa daktari wa meno alipokuwa akiongea na mgonjwa aliekwenda kung'oa jino
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umewaza nini? post wewe basi, huishi kufikiria vibaya tu muda wote[emoji34] [emoji34]
 
Asubuhi ile kuamka tu jirani kanigongea mlango na kusema "jirani fungua nina shida"
Nikamjibu "Afadhali we jirani una shida, mi hata hiyo shida sina"
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kanikata stimu na makelele yake[emoji34] [emoji34] [emoji377]
 
Meli ilizidiwa na mizigo, ikabidi watu mbali mbali watupe vitu vyao:
Mzungu akatupa computer akasema kwetu zipo tele!
Mchina akatupa mabox ya simu akasema kwetu zipo tele!!
Masai akatupa shanga akasema kwetu zipo tele!
Mzenji akaangalia cha kutupa kakosa, akamuona Masai mmoja akamchukua na kumtupa, watu wakamuuluza "Mbona umemtupa Masai" akajibu wapo wengi darajani.
Hahahahahaaaaaaaaaa [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Okay, kumbe unaielewa hali yako!
Karibu..

Niliwahi kusikia kuwa maji na mafuta havichangamani, na pia mafuta huwa yanaelea juu ya maji... Basi jana mimi nikaamua kupaka mafuta mengi tu miguuni kisha nikaingia baharini ili niweze kutembea juu ya maji maana nilihisi ningeelea na kuweza kufanya chochote.
Sikumbuki nini kilitokea lakini nilijikuta nimelala mchangani watu wakiwa wamenizunguka huku wakisema niwashukuru sana wavuvi. Nadhani watakuwa wamenipa samaki wa bure.
Thethethethethethethethethethwthethethethe
 
Mwalimu kaniulizaa kama mtoto mdogo anaitwa mchanga... Je mtu mkubwa anaitwaje? ... Nikamjibu anaitwa kokoto..... Ameniitaa staff room labda atakuwa ameniitia chai

Huyu mwalimu ana roho nzuri sio kama mwl Msigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Basi utaondoka na stress..!

Stress ni nini??
Stress ni pale umeenda kijijini kwa bibi ako huku umebeba jeans zako tano zile ja mtindo wa kuchanika (chanika jeans) sasa siku ukazifua ukazianika ukaenda zako kutembea ile unarudi jioni unakuta bibi yako kazianua afu kazishona zote!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Future [emoji289]
My riba,
Nitapitia MOI nikachunguzwe zimebaki ngapi, maana niko mwepesi kama Husain Bolt
 
Kuna demu kaweka status yake kuwa "wanaume wote mbuzi" nikamuuliza; "Wewe Baba yako umemkatia majani?"
Sasa hivi nikimtumia msg hazipokelewi nahisi kazima simu kwanza anaenda kumkatia majani!
Wabongo ni wabongo tu, acha waitwe wabongo [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Girlfriend: Boo boo naomba simu yako nicheze 'candy crush'
Boyfriend: Chukua
Girlfriend: Hee na Lucy ndo nani?
Boyfriend: Hiyo ni level gani umefika? Mimi sijafika huko bado...

...
Hahahahahahaaaaaaa,
Ni Lucy Mayenga.

Naota kwa sauti tu.
 
*KAMA UKITEMBEA NA MWANAFUNZI UNAKWENDA JELA MIAKA 30.*
_NAJIULIZA IKIWA UTAKUTWA UNAKIMBIA NAE ITAKUWA MINGAPi_
Mi sikimbii naye, bora nikae nae ili hiyo miaka ipungue hata ubaki mmoja tu.

Napenda ukarimu sana mimi!! [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Wanasema ukimcheka mtu unakuwa kama yeye...
Hahahaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]hahaahaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Bakhresa[emoji23]hahaaa[emoji23][emoji23]hahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pale unambiwa mbona unakuwa kama bashite, unauliza ndo nini, wanakujibu wewe ni zero tu huna maana yeyote...hata mpaka sahivi sijapata jibu au mimi ni mtu maarufu sana duniani?
Utaitwa kwenye kamati ya maadili ya bunge, unamtusi supika.
 
Wanasema ukimcheka mtu unakuwa kama yeye...
Hahahaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]hahaahaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Bakhresa[emoji23]hahaaa[emoji23][emoji23]hahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahahahaha bashite hahhahahahahahahahaha bashite
 
17934387_189562981560835_1364841624852496384_n.jpg
 
Back
Top Bottom