Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji12] [emoji13] [emoji1] [emoji2] [emoji9] [emoji31] [emoji30] [emoji30]
 
*Mwanasheria mmoja alifanya mapenzi na mchepuko wake kwenye gari lake, basi yule msichana alifurahia sana lile tendo kiasi kwamba akasahau nguo yake ya ndani kwenye gari. Yule mwanasheria alipofika nyumban mke wake akampokea akaingia ndani, ile kipindi mwanamke anashusha mizigo kutoka kwenye gari, akaiona chupi ya mwanamke kwenye gari[emoji15], akaanza kupiga kelele kwa asira uku anaichana. Yule mwanasheria akatoka nje haraka haraka kuangalia kilicho tokea, akaanza kumfokea mke wake "We mwanamke umechana ushahidi wa kesi ya ubakaji na ni ya mamilioni*"...

*Mwanamke hapo hapo akapiga magoti akaanza kuomba msamaha*[emoji38][emoji38][emoji38]

*Mwanasheria akili yake anaijua mwenyewe*[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hii ilinitokea Club 71 kibo complex tegeta...!!!

Nilikuwa club ninadance mdogo mdogo solo music....Mara gafla kademu
kakanisogelea na kunitabasamia..
Nikaanza kushukuru sir God nikisema kimoyo moyo nimepata
wa kucheza nae.. tukacheza Kama 30
minutes then kakaanza kuninongoneza kwa sikio "nireacharge elfu 30 nimtumie
mama ili asiangaike kunitafuta niende
na wewe, duuu kumbe sina hata pesa kwa
mpesa lakini nikajikaza kumdanganya
smartphone imezima.. Kanatabasamu
na kusema usijali kakaondoka, unashukuru sana, After 2mins
kanarudi na power bank......!!!!Unajua kilichotokea[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Leo bosi wangu kazini kanipa mtihani Eti kanga na kitenge kwa Kiingereza vinaitwaje, kwa mwenye kujua naomba anisaidie, msicheke. Its serious
Nnavojua mm kanga naita wrapper, kitenge naita cloth tu[emoji38][emoji38][emoji23]
 
Nnavojua mm kanga naita wrapper, kitenge naita cloth tu[emoji38][emoji38][emoji23]
Ok ahsante afadhali nishapata cha kumuongopea maana ningeumbuka[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi nilijua kanga ni GUINEAFOWL [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nimevuta kidogo tu leo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
 
*ENZI ZA SEKONDARI*
*John ana miaka 10 pungufu ya Baba yake mama yake ana miaka 40, miaka 20 zaidi ya john.Tafuta umri wa..*
*1.john*
*2.Baba*
*3.Mama*
*......Hilo swali nilikuwa naliruka...Sio kwamba* *nilikuwa siliwezi ni basi tu sipendi kuingilia mambo ya familia za* *watu*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *mwalimu wangu nsameh* *umbeya spendi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom