Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

f904adab70f8b77abd451e663f271f53.jpg
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii ilinitokea Club 71 kibo complex tegeta...!!!

Nilikuwa club ninadance mdogo mdogo solo music....Mara gafla kademu
kakanisogelea na kunitabasamia..
Nikaanza kushukuru sir God nikisema kimoyo moyo nimepata
wa kucheza nae.. tukacheza Kama 30
minutes then kakaanza kuninongoneza kwa sikio "nireacharge elfu 30 nimtumie
mama ili asiangaike kunitafuta niende
na wewe, duuu kumbe sina hata pesa kwa
mpesa lakini nikajikaza kumdanganya
smartphone imezima.. Kanatabasamu
na kusema usijali kakaondoka, unashukuru sana, After 2mins
kanarudi na power bank......!!!!Unajua kilichotokea[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji124] [emoji124] ngoja naludi teh
 
Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa. Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu Wa kiume Wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia hakunyamaza. Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto. Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa?[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] [emoji35]. "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?". Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo kingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini. Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa
 
SIPENDI TABIA HII MIMI

*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb whatsapp, inta au jf na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SAIVI NDO NAANZA KUONA UMUHIMU WA MKE WANGU, JANA BAADA YA KUPIKA SI NIKADEKIA MAJI NILIYOOSHEA DAGAA,, SASA CHUMBA KIZIMA KINANUKA KAMA SOKO LA SAMAKI, KUNA MAMA AMEKUJA AMENIULIZA SAMAKI WABICHI WAPO?, SIJAMJIBU AMEAMUA KUONDOKA!
...mke wangu hebu rudi huku yamenishinda!

[emoji124][emoji124]
 
SIPENDI TABIA HII MIMI

*Hakuna kitu kinachonikera kama mwanaume kumfuata msichana inbox iwe fb whatsapp, inta au jf na kumuomba namba ya simu. Kama wewe ni msichana na unakerwa na hii tabia kama inavyonikera mimi, NITUMIE NAMBA YAKO YA SIMU INBOX* tujadiliane tuone ni kwa namna gani tunaweza *kulikabili hili tatizo*!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha
 
Najiuliza hiv msichana akiwa period afu
akakalia meza haiwezi kutokea periodic
table......
Kabisa, tena itakuwa zana nzuri sana ya kufundishia kemia, hasa kwenye periodic classification!
 
Back
Top Bottom