SERAPION MGEDZI
Member
- Apr 10, 2017
- 54
- 50
[emoji15] [emoji12] [emoji13] [emoji1] [emoji2] [emoji9] [emoji31] [emoji30] [emoji30]Kuna group nimeingia huko whatsapp nikauliza jamni vipi?kimya, jamani wazima humu nikakuta kimya[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
nimebadili jina la group kuwa "wauza madawa ya kulevya wa dar" hivi navyosema wameleft karibu wote ...nataka mambo mubashara bwana alaah[emoji2][emoji2][emoji2]kwamba kunijibu nalo ni suala mtambuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakumbuka Enzi za utotoni unapewa tsh 1000 ukanunue mafuta ya kula unapitia mahali unanunua andazi la mia ili ukanunue mafuta ya 900 unafika wanapouza mafuta unakuta wamefunga hapo ndipo utatafuta mafuta mpaka pharmacy [emoji1][emoji1]
Exactly,,,uavijua vichochoro vyote……!!!Ukitaka kujua njia ya mkato ya kurudi kwenu mahari popote ulipo kula nauli
Nnavojua mm kanga naita wrapper, kitenge naita cloth tu[emoji38][emoji38][emoji23]Leo bosi wangu kazini kanipa mtihani Eti kanga na kitenge kwa Kiingereza vinaitwaje, kwa mwenye kujua naomba anisaidie, msicheke. Its serious
Ok ahsante afadhali nishapata cha kumuongopea maana ningeumbuka[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi nilijua kanga ni GUINEAFOWL [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nnavojua mm kanga naita wrapper, kitenge naita cloth tu[emoji38][emoji38][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] wewe..Wasichana wenye matiti madogo msitumie medicated soap zinaweza kuondoa matiti yenu zikidhani ni chunusi kifuani…!!!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]*ENZI ZA SEKONDARI*
*John ana miaka 10 pungufu ya Baba yake mama yake ana miaka 40, miaka 20 zaidi ya john.Tafuta umri wa..*
*1.john*
*2.Baba*
*3.Mama*
*......Hilo swali nilikuwa naliruka...Sio kwamba* *nilikuwa siliwezi ni basi tu sipendi kuingilia mambo ya familia za* *watu*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *mwalimu wangu nsameh* *umbeya spendi