Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Leo nimeenda ghetto kwa mshikaji, nikaona kachukua kitu kama jiko kaweka mchele ndani ya nusu saa ukawa umeiva.. Leo kaniacha, nimebandika makande tangu asubuhi mpaka saa tatu hii usiku hayajaiva..

Nahisi lina ubaguzi maana linajua mgeni na mwenyeji..
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yeuwiii mbavu zangu..
 
Yaani leo nimewaza sana mpaka nimegundua kuwa " Wanawake ndio watu pekee ambao si wanaume"

Hiyo ni shida ya [emoji377] [emoji377] na [emoji295] kali
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mahusiano ya kimarekani:

Siku ya 1= mahusiano
Siku ya 2= unakumbatia
Siku ya 3= unakumbatia tena
Siku ya 4= busu
Siku ya 5= denda
Siku ya 6= mapenzi
*************************

Mahusiano ya kibongo:

Siku ya 1= unatongoza
Siku ya 2= unatongoza tena
Siku ya 3= unatongoza tena
Siku ya 4= anakubalii
Siku ya 5= mahusiano
Siku ya 6= unajarbu kukumbatia lakin inashndkana
Siku ya 7= unakumbatia
Siku ya 8= unajaribu kubusu lakn inashindkana
Siku ya 9= unabusu
Siku ya 10= denda
Siku ya 11= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 12= unajarbu kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 13= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana tena

Siku ya 14= UNABAKA.!!!!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji93][emoji93][emoji93][emoji93][emoji93]
 
[emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…