Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

14cfc1a05418a9b48a81667e470416df.jpg
 
Nyumba za uswahilin bnaa

Yaan ukikaa na demu ndani ,,, ile ukitok nje tu na jasho la ndani utasikia majirani……!

Huyu dada nae atamuua mkaka wa watu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui wao hua wanawaza nini[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] ……!!
 
Nyumba za uswahilin bnaa

Yaan ukikaa na demu ndani ,,, ile ukitok nje tu na jasho la ndani utasikia majirani……!

Huyu dada nae atamuua mkaka wa watu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sijui wao hua wanawaza nini[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] ……!!
Hahahahahaaaaaa
 
Mchana nilikuwa naangalia TBC sherehe za muungano na mke wangu, walipoingia wale makomando mke wangu mara nikasikia anasema wale ndo wanaume.[emoji15]

Nimemzaba Kofi moja la nguvu naona anatoka na begi....I hope anaenda kwa wanaume[emoji12][emoji12]
 
Mchana nilikuwa naangalia TBC sherehe za muungano na mke wangu, walipoingia wale makomando mke wangu mara nikasikia anasema wale ndo wanaume.[emoji15]

Nimemzaba Kofi moja la nguvu naona anatoka na begi....I hope anaenda kwa wanaume[emoji12][emoji12]
Kweli umedorora [HASHTAG]#1124[/HASHTAG]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
_Wivu ukizidi.._

_Guy: babe Uko wapi?_

_Babe: nipo church luv!!_

_Guy: mpe Yesu Simu......._ ..[emoji15][emoji15][emoji849][emoji849][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mmmmmm, nimebaki naitafakari namba maana hisabati ni damu damu, kumbe maana yake ilikuwepo mwishoni.

Hapo najiuliza kwanini chips hazina ukoko.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kweli uvivu ni kipaji
MTOTO:Baba naomba hio glass
BABA:Njo uchukue mwenyewe
MTOTO:Baba bwana naomba niletee tu
BABA:Halafu wewe mtoto unajua nitakuja nikupige
MTOTO:Basi ukija kunipiga njoo nayo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
Uchochezii
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
[emoji23] [emoji23] [emoji23] daah nimecheka hadi basii
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sa kama dereva hasikii kelele za abiria situtapitishwa vituoni
 
Back
Top Bottom