Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
Hahahahahahahahahhaaaaaaaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Me: Removed stress
 
MKE: Una mpango gani na Pasaka hii, mume wangu?
MUME: Nitafanya kama Yesu...
MKE: Una maanisha nini???
MUME: Nitaondoka Ijumaa na kurudi Jumatatu...
MKE: Unanishangaza!... Kama utafanya hivyo, nami nitafanya kama Maria...
MUME: Unamaanisha nini?
MKE: Nitapata mimba bila ya kuingiliwa na wewe mume wangu...


Mume yuko hospitali, haongei hadi sasa, anapumulia gesi!...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mume: Mke wangu nimeacha pombe!
Mke: Usinitanie
Mume: Kweli mke wangu nimeacha pombe
Mke: Utanieleza kwanini umeacha pombe! We unafikiri nitamsachi nani ili nipate hela ya mchezo[emoji34] [emoji34]
Duh Aisee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
Dah nimecheka sana.Saivi nipo kwenye duka la wahindi natafuta spea zambavu.
 
Jamaa aliingia msikitini akiwa kashika panga huku jasho likimtoka,akasema"nani muislamu humu?"wote wakauchuna.Akarudia tena"nauliza nani muislamu humu hamnisikii?"wote kimya.Akamgeukia Imamu"wewe sio muislamu?"...Imamu:aaaaah jamani kukaa mbele tu hapa ndo nimeshakuwa muislamu?"...Akamshika mkono muumini mmoja aliyekuwa karibu na mlango akamtoa nje,akamwambia "naomba ukanichinjie mbuzi nyumbani nina wageni leo waislamu"....jamaa akaenda akamchinjia halaf akamwambia"ila utaalamu wa kuchuna ngozi sina labda ukamchukue mwenzangu"....jamaa ikabidi arudi msikitini huku panga linavuja damu....Imamu kuona vile akasema"tumsifu Yesu kristo"...waumini wakaitikia"milele amina!!"
Ujinga
 
TANESCO nazo zingekua nyingi kama MITANDAO YA SIMU hapa TZ? Matangazo yao na promotion yangekuwa hivi;

1.Hamia TANESCO SHUPAVU hakuna katizo la umeme, huduma bomba masaa 24

2.Tumia TANESCO POWER upate megawati za bure kila siku saa nne usiku mpaka kumi na mbili asubuhi...

3.Jiunge na TANESCO BOMBA, lipia bill yako miezi mitatu upate mmoja BUREEEE!!!!!

4.Acha Ulofa Tumia TANESCO MAHIRI, hakuna katizo la umeme, jiunge na Extreme Megawati tuma neno XMEGAWATI kwenda no 15056 upate MEGAWATI za bure wiki nzima, Nguzo za Tanesco unapewa bure na kubwa kuliko utaunganishwa na laini ya jeshini hakuna katizo la umeme eva eva again...!!

5.Kopa TANESCO leo na urudishe baada ya kutumia Umeme wako kwa kubonyeza kwenye LUKU yako *140*04#


6.Jiunge na KIPORO kwa siku za week end upate unit 1 kwa tshs 50 tu ofa hii ni hadi sikukuu za mei mosi[emoji13][emoji13][emoji13]hapo ndo ujue kwamba hata nyumba ina PAA lakini haijawahi kuruka angani[emoji3][emoji3][emoji3]
 
. ⚜ *WABUNGE GROUP* ⚜

TODAY
Ndungai added Tulia

Ndungai added Jenista

Tulia: Habari za muda waheshimiwa. [emoji7][emoji7]

Goodluck Milinga: Nakuona tu Tulia ulivyo tulia. [emoji68]‍[emoji310]

Ester Bulaya: We milinga (mpunga [emoji264] wa Ulanga ) acha uboya hilo ndo jibu la salamu?

Goodluck Milinga: Rudi CCM kichwa panzi [emoji218]wewe, huko washakuharibu akili.

Kigwangala: Jamani mbona mnarushiana maneno hivyo? Kuweni watu wazima basi.

Halima Mdee: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Kigwa boy, vunga hakuna lugha mbovu hapo, kwanza vipi wale mashoga [emoji129] umewasahau majina yao si ulisema utawataja?

Bashe added Nape

Pole pole: Nani kamuadd huyu mamluki? [emoji379]

Tundu Lissu: Heeeee![emoji15] Huyu pole pole kafata nini humu? Kwan naye ni mbunge mbona mnatuletea watu hatuwaelewi elewi . Hivi admin sheria za grup na mlengo wake hauufahamu? Naomba sheria na kanuni zetu zizingatiwe.

Pole pole: Kausha we jamaa sio mahakamani hapa. [emoji57]

Makonda: Pole pole, dogo janja wangu safi sana mchane huyo jamaa anajifanya mjuaji. Akachunge ng'ombe na mamvi wao

Musukuma removed Pole Pole

Musukuma removed Makonda

Angela Kairuki: Eeheee wenye viherehere vyao, kwani umeombwa uwaremove?

Nchemba added Makonda

Nchema added Pole pole

Bashe removed Makonda

Ndungai: Waheshimiwa naombeni tusiwe na chuki [emoji174] kiasi hiko tupendane [emoji173] jamani sisi sote ni watanzania.

Halima Mdee: Nakuona tu kubwa la maadui umeanza kuwa na busara siku hizi. Halaf nan anawarudisha hawa maccm? [emoji196]

Nchemba left

Pole pole left

Bwege: Bora wameleft hawa ndo wanasababisha hata bunge la bajeti lisiwe na kiki mjini.

Tulia: Hili grup siliwezi mie naenda zangu hotel [emoji544] kupumzika

Tulia left

Mbowe: Kapumzike tu mama [emoji112][emoji112], hili grup huliwezi kama una roho nyepesi... By the way Halima nakuomba ofisi ya kambi rasmi ya upinzani sasa hivi.

Bashe added Joshua Nassari

Bashe added Mnyika

Bashe added Msigwa

Bashe: Majembe hayo

Ndungai left

Bwege: Spika katoka nduki za Harmorapa

Jenista: yoyoooo hadi mheshimiwa nae kakushoto

Serukamba: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12]

Mwakyembe: Hivi wewe Bashe ni chama gani, Mbona hueleweki?

Bashe: CHAUMA

Mbowe: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sugu: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Prof Tibaijuka: Halooo inahuuuuu......

Ummi Mwalimu: [emoji15][emoji15][emoji15] bibi Tiba vepeee mbona haloooo za ki hadija kopa [emoji57][emoji57][emoji57]

Msigwa: Amen Bashe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Ester Bulaya: Bashe siku hizi unawaweza hawa magamba [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Bashe: Halafu nyie ccm msinizoee sana [emoji57] mshanikoroga kwanza ntaenda hata kwenye chama cha mzee Rungwe Spunda [emoji318]

January Makamba: Nenda tu Bashe kwani unadhani huku ndo tunakuhitaji wewe, kwa lipi kubwa ulilonalo? Hizi siasa umezikuta so ziache kama zilivyo.... Si umemuona shangazi yako Sophia Simba

Msigwa: [emoji23][emoji23][emoji23] acha wamzingue tulichukue jembe hilo

Lema: Bashe achana nao hao wakaanga sumu, njoo huku kwenye harakati za kweli

Mwakyembe added Makonda

Nape: Mmmh nini hii tena? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Makonda added JPM

Mbowe: maaaweee Yesu na Maria [emoji24][emoji24][emoji24]

Mbowe left

Nassari left

Lema left

Tundu Lissu left

Halima mdee left

Ester Bulaya left

Msigwa left

Makonda: Duh!!!![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Bashe: *Utashanga sana mwaka huu na bado* [emoji57][emoji57][emoji57]

Bashe left

Jenista left

Kigwangala left

Serukamba left

Bwege left

JPM: Mbona mnaleft waheshimiwa

Nape left

Makonda: Hawa ndo wanaozuia tusifikie uchumi wa viwanda.

JPM: Hivi ule mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi [emoji539][emoji548] kule kinondoni unaendeleaje?

Makonda: Mkandarasi [emoji62][emoji62]‍♀ ameshaanza kazi, tunasubiri mwezi ujao tukakague kujua maendeleo.

JPM: Safi sana, mie napenda watu wanaopiga kazi sio hao wapiga kelele wauza madawa na wataondoka wote mie ni dereva nisiesikia kelele za abiria

Musukuma left

You: *Nilisahau vyeti vyangu kwenye viunga vya bunge kuna alieviona?*

Mwakyembe left

JPM: Huyu ni nani anaeulizia vyeti humu?

Makonda removed you
hahahahahaha!!!
 
18095369_194085714437796_2390030295270162432_n.jpg
IMG_20170427_165546.jpg
 
Mahusiano ya kimarekani:

Siku ya 1= mahusiano
Siku ya 2= unakumbatia
Siku ya 3= unakumbatia tena
Siku ya 4= busu
Siku ya 5= denda
Siku ya 6= mapenzi
*************************

Mahusiano ya kibongo:

Siku ya 1= unatongoza
Siku ya 2= unatongoza tena
Siku ya 3= unatongoza tena
Siku ya 4= anakubalii
Siku ya 5= mahusiano
Siku ya 6= unajarbu kukumbatia lakin inashndkana
Siku ya 7= unakumbatia
Siku ya 8= unajaribu kubusu lakn inashindkana
Siku ya 9= unabusu
Siku ya 10= denda
Siku ya 11= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 12= unajarbu kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 13= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana tena

Siku ya 14= UNABAKA.!!!!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji93][emoji93][emoji93][emoji93][emoji93]
 
Mzee kutoka Njombe alifika Dar, nyumba aliyofikia akasikia mke na mume wanaitana Darling..
Jamaa aliporudi Njombe akamwita mkewe hello my Njombeling..
Mke akamuuliza maana yake nn?
Mume akacheka tena kwa zarau sana akamwambia ushamba mwingine bwana tembea uyaone ukiwa Dar unaitwa Darling sasa ukiwa Njombe unafikiri utaitwaje kama si Njombeling?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom