Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Hahahahahahahahahhaaaaaaaaaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Me: Removed stress
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mume: Mke wangu nimeacha pombe!
Mke: Usinitanie
Mume: Kweli mke wangu nimeacha pombe
Mke: Utanieleza kwanini umeacha pombe! We unafikiri nitamsachi nani ili nipate hela ya mchezo[emoji34] [emoji34]
Duh Aisee[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah nimecheka sana.Saivi nipo kwenye duka la wahindi natafuta spea zambavu.
 
Ujinga
 
TANESCO nazo zingekua nyingi kama MITANDAO YA SIMU hapa TZ? Matangazo yao na promotion yangekuwa hivi;

1.Hamia TANESCO SHUPAVU hakuna katizo la umeme, huduma bomba masaa 24

2.Tumia TANESCO POWER upate megawati za bure kila siku saa nne usiku mpaka kumi na mbili asubuhi...

3.Jiunge na TANESCO BOMBA, lipia bill yako miezi mitatu upate mmoja BUREEEE!!!!!

4.Acha Ulofa Tumia TANESCO MAHIRI, hakuna katizo la umeme, jiunge na Extreme Megawati tuma neno XMEGAWATI kwenda no 15056 upate MEGAWATI za bure wiki nzima, Nguzo za Tanesco unapewa bure na kubwa kuliko utaunganishwa na laini ya jeshini hakuna katizo la umeme eva eva again...!!

5.Kopa TANESCO leo na urudishe baada ya kutumia Umeme wako kwa kubonyeza kwenye LUKU yako *140*04#


6.Jiunge na KIPORO kwa siku za week end upate unit 1 kwa tshs 50 tu ofa hii ni hadi sikukuu za mei mosi[emoji13][emoji13][emoji13]hapo ndo ujue kwamba hata nyumba ina PAA lakini haijawahi kuruka angani[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hahahaaas[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hahahahahaha!!!
 
Mahusiano ya kimarekani:

Siku ya 1= mahusiano
Siku ya 2= unakumbatia
Siku ya 3= unakumbatia tena
Siku ya 4= busu
Siku ya 5= denda
Siku ya 6= mapenzi
*************************

Mahusiano ya kibongo:

Siku ya 1= unatongoza
Siku ya 2= unatongoza tena
Siku ya 3= unatongoza tena
Siku ya 4= anakubalii
Siku ya 5= mahusiano
Siku ya 6= unajarbu kukumbatia lakin inashndkana
Siku ya 7= unakumbatia
Siku ya 8= unajaribu kubusu lakn inashindkana
Siku ya 9= unabusu
Siku ya 10= denda
Siku ya 11= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 12= unajarbu kufany mapenz lakn inashndkana
Siku ya 13= unajarb kufany mapenz lakn inashndkana tena

Siku ya 14= UNABAKA.!!!!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji93][emoji93][emoji93][emoji93][emoji93]
 
Mzee kutoka Njombe alifika Dar, nyumba aliyofikia akasikia mke na mume wanaitana Darling..
Jamaa aliporudi Njombe akamwita mkewe hello my Njombeling..
Mke akamuuliza maana yake nn?
Mume akacheka tena kwa zarau sana akamwambia ushamba mwingine bwana tembea uyaone ukiwa Dar unaitwa Darling sasa ukiwa Njombe unafikiri utaitwaje kama si Njombeling?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…