Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Saa,zingine maisha yanabana mpaka unajiuliza "au ni zile meseji nazotumiwaga ,niwatumie watu kumi alafu nazipuuza"[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] ……!!!!,hakyanani nikitumiwa tena sizifuti nione labd maisha yanawez kuwa mepesi kidgo!!!
 
Mmmmh mwaka huu

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Teh Teh Teh Teh Teh Teh.....
 
Majivuno mda mwingn hayafai, jamaa mmoja alipanda daladala kidogo sim ikaita akaitoa mfukon alipoangalia akaona mke wake alikuwa anapiga, kwa kutaka kujionyesha akapokea simu na kuweka loud speaker akiwa na abiria wenzake, jamaa akauliza mke wangu muda huu umenimiss au tatizo nini nambie bac baby,mke akajibu sijakumiss nataka kujua kwa nini umevaa chupi ya mtoto? abiria walicheka mpaka kulaliana[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sijui serikali italiamuaje hili. Kuna hakimu m1 amebainika ana vyeti fake katika mahakama ya wilaya ya kiomboi. Hivyo wafungwa waliyofungwa na hakimu huyo wamegoma kula kwamba inatakiwa waachiwa huru kwa sababu hukumu yao ni fake!!
 
Itakuwa mihan
 
Sijui serikali italiamuaje hili. Kuna hakimu m1 amebainika ana vyeti fake katika mahakama ya wilaya ya kiomboi. Hivyo wafungwa waliyofungwa na hakimu huyo wamegoma kula kwamba inatakiwa waachiwa huru kwa sababu hukumu yao ni fake!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mh nimecheka kwa sauti
 
FURSA! FURSA! FURSA!

Je wewe ni Mwanaume.!?

Je Uko single .!?

Je huna hela..!?

Je Unahisi huna mvuto..!?

Je hupendezi Kwa mavazi yako..!?

Je uliachwa na mpenzi wako..!? Au hujawahi kabisa kuwa na mpenzi..!?

Je umekua mpweke..!?

Je wewe ni mweusi na Una chunusi tele usoni..!?

Je kuna mda unatembea Huku unaongea na kucheka peke yako..!?

Je mda wote Umevaa Earphones masikioni...!?

Je Unahisi jamii imekutenga kisa ufukara...!?

Je wadada wengi wanakuita mkaka, swaiba, rafiki yangu, shemela, akili mbili, baby ya uongo uongo...!?

Je Bado unaishi kwenu...!?

KAMA JIBU NI NDIO Pole Sana......

NI MATATIZO YAKO SISI HAYATUHUSU....

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…