[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake bana
Utasikia wanasema nataka mwanaume ambaye atanilinda na kunijali, halafu akitongozwa na mlinzi anakataa [emoji121] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yani we mshenzi kweliSasa Hivi Hata Yale Magari Ya Kuvuta Mavi Wanalia Njaa, Wanasema Biashara Ngumu.
Na Ukiangalia Ni Kweli Kwa Sababu Mtu Anakula Chips Kavu Na Soda; Ni Lini Choo Kitajaa?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji45]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyo mtoto noma huyoBaba kutoka mashambani alipata safari ya kwenda Mombasa kwa biashara. Baada ya wiki moja akampigia simu mtoto wake kujulia hali ya nyumbani.
Baba: Alooo! Vipi hali zenu huko?
Mtoto: Tuko poa Baba, kila kitu sawa isipokua kidogo tu kulitokea shida
Baba: Shida gani??
Mtoto: Waujua ule ufagio wenye gongo refu? Basi lile gongo lake lilivundika.
Baba: Aaaah umenishtua, sineno tutanunua mwengine. Lakini nnani alouvunja?
Mtoto: Ni ngombe wetu aliuangukia.
Baba: Ngombe??
Mtoto: Naam alikua anakimbia kwa khofu maana zizi lilikua limeshika moto..
Baba: Ah moto! Lakini ngombe yuko salama?
Mtoto: Hapana baba ng'ombe alikufa.
Baba: Lahaulaaaa..... na ilikuaje zizi likashika moto?!
Mtoto: Kwa hakika moto ulianza kwa nyumba yetu ukaenea mpaka ukafika zizini.
Baba: Nyumba yetu imeshika moto??
Mtoto: Ndio Baba wajua yote ni huyu ndugu yangu Juma mungu amrehemu
Baba: Mungu amrehemu?! Kwani mwanangu Juma amekufa?
Mtoto: Ndio Baba Juma amekufa. Wajua alikua avuta sigara chumbani kwake sigara ikaanguka kwenye godoro na yeye amelala. Moto nyumba nzima.
Baba: Wanambia Juma siku hizi avuta sigara! Alianza lini mambo hayo?
Mtoto: Alianza wiki hii tu kwa sababu ya stress na huzuni nyingi tangu mama afe.
Baba: Mtumeeeee, mamako pia amekufa??
Mtoto: Ndio Baba lakini usijitie stress sana baba kama ni ufagio wallahi tutapata tu mwengine.
Anaitwa.....MSEJA*kama mwanamke ambaye hajawahi kufanya mapenz anaitwa #BIKRA*
*Basi mwanaume ambaye hajawahi kufanya mspenz
anaitwa #BWAKIRA*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] duuu nahisi umetoroka milembeeMUNGU NI MKUBWA AISEE....YAANI PAMOJA NA KUWA KORODANI ZIPO CHINI ILA UKIKAA HUZIKALII
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hilo swali ni sawa nankukuuliza tanzania i aitwaje kwa kiingereza.Leo bosi wangu kazini kanipa mtihani Eti kanga na kitenge kwa Kiingereza vinaitwaje, kwa mwenye kujua naomba anisaidie, msicheke. Its serious
[emoji4] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jmn mnawaonea wasukuma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, nyoko sana ww, mi nkajua uku chini tutapta solution wenye hayo matatizo…!!FURSA! FURSA! FURSA!
Je wewe ni Mwanaume.!?
Je Uko single .!?
Je huna hela..!?
Je Unahisi huna mvuto..!?
Je hupendezi Kwa mavazi yako..!?
Je uliachwa na mpenzi wako..!? Au hujawahi kabisa kuwa na mpenzi..!?
Je umekua mpweke..!?
Je wewe ni mweusi na Una chunusi tele usoni..!?
Je kuna mda unatembea Huku unaongea na kucheka peke yako..!?
Je mda wote Umevaa Earphones masikioni...!?
Je Unahisi jamii imekutenga kisa ufukara...!?
Je wadada wengi wanakuita mkaka, swaiba, rafiki yangu, shemela, akili mbili, baby ya uongo uongo...!?
Je Bado unaishi kwenu...!?
KAMA JIBU NI NDIO Pole Sana......
NI MATATIZO YAKO SISI HAYATUHUSU....
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
stress zinapanda na kushuka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, nyoko sana ww, mi nkajua uku chini tutapta solution wenye hayo matatizo…!!
[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]*Kigugumizi noma kunajamaa alienda ukweni kufika akapewa muwa akasema si....si....siwezi! ****...****....kumaliza peke...peke...pekeyangu labda tuka...tuka...tiane na mama....mkwe! Sababu nina ****....****....ubovu wa meno. Mama mkwe akang'aka we mkwe unikome kabisa tabia gain *hiyo*?
[emoji85][emoji85][emoji119][emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]STORY YA DEM WA ADMIN
ADMIN
Morning guyz
LUCY
typing..
ADMIN added George
GEORGE
typing...
LUCY
Morning bebz
ADMIN
typing..
GEORGE
Thanx for add Admin
ADMIN
Welcome bro,za siku
GEORGE
typing..
LUCY
Bebz ninashida,nataka kwenda Moro bt sina nauli,i need only 10,000@Admin
ADMIN
typing..
GEORGE
Nko poa bro,am driving. sorry, ntakuchek baadae.
LUCY
typing..
ADMIN
Bebz nko vbaya now, ngoja nifight jioni ntakurushia@Lucy
LUCY
Niaje George.
GEORGE
typing..
ADMIN
Hope umenielewa bebz@Lucy
GEORGE
Poa sana Lucy, niambie
LUCY
typing..
ADMIN
Safe journey bro@ George
LUCY
Umesema your are driving to where?
ADMIN
typing..
GEORGE
Moro @ Lucy.
LUCY
typing..
ADMIN
Kwani huoni message zangu Lucy?
LUCY
Gosh! Umefika wapi @ George?
GEORGE
typing..
ADMIN
George si umesema unadrive tuchat baadae?
GEORGE
Nimefika Ubungo Mataa @ Lucy
LUCY
typing...
GEORGE
Nlikuwa nadrive bt now no ubungo mataa na kunafolen ile mbaya @ Admin
ADMIN
typing..
LUCY
Plz ukifika Kimara nshutue at mm naenda Moro na sina nauli.
GEORGE
typing..
ADMIN
Bebz nimepata, nakurushia@ Lucy.
GEORGE
Haina shida Lucy,in fact I was so loney.
LUCY
typing..
ADMIN removed George.
LUCY left
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
George kaonewaSTORY YA DEM WA ADMIN
ADMIN
Morning guyz
LUCY
typing..
ADMIN added George
GEORGE
typing...
LUCY
Morning bebz
ADMIN
typing..
GEORGE
Thanx for add Admin
ADMIN
Welcome bro,za siku
GEORGE
typing..
LUCY
Bebz ninashida,nataka kwenda Moro bt sina nauli,i need only 10,000@Admin
ADMIN
typing..
GEORGE
Nko poa bro,am driving. sorry, ntakuchek baadae.
LUCY
typing..
ADMIN
Bebz nko vbaya now, ngoja nifight jioni ntakurushia@Lucy
LUCY
Niaje George.
GEORGE
typing..
ADMIN
Hope umenielewa bebz@Lucy
GEORGE
Poa sana Lucy, niambie
LUCY
typing..
ADMIN
Safe journey bro@ George
LUCY
Umesema your are driving to where?
ADMIN
typing..
GEORGE
Moro @ Lucy.
LUCY
typing..
ADMIN
Kwani huoni message zangu Lucy?
LUCY
Gosh! Umefika wapi @ George?
GEORGE
typing..
ADMIN
George si umesema unadrive tuchat baadae?
GEORGE
Nimefika Ubungo Mataa @ Lucy
LUCY
typing...
GEORGE
Nlikuwa nadrive bt now no ubungo mataa na kunafolen ile mbaya @ Admin
ADMIN
typing..
LUCY
Plz ukifika Kimara nshutue at mm naenda Moro na sina nauli.
GEORGE
typing..
ADMIN
Bebz nimepata, nakurushia@ Lucy.
GEORGE
Haina shida Lucy,in fact I was so loney.
LUCY
typing..
ADMIN removed George.
LUCY left
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lucy akili zake anazijua mwenyewe....George kaonewa
Lucy hana adabu kwanini anatuma msg ya kuomba pesa kwa baby wake kupitia group kwan hajui DM/PM? Alafu anawezaje kuomba lift kwa rafiki wa mpenzi wake bila kupata kibali kutoka kwa mpenzi wake?
Alipangaje safari kabla ya kupata uhakika wa pesa au kumjulisha mpenzi wake before?
Ila nimecheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]