Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

BREAKING NEWS
Nimefatilia taarifa ya press mpya MAKONDA juu ya UNGALIMITED arusha ni kwamba lema na jaji mkuu kifo cha yule dada aliyesema kabakwa hadi kufa ni kwmb diamond plutnum ndo msanii bora kwa sasa tz hayo aliyasema ozil wakati anafunga goli dhidi ya hardware za kusambaza mchanga kwenye uchaguzi wa kumtafuta miss wa korosho husaidia mtu aoge kwenye gari ambalo halina laptop zenye ukubwa wa chai ya maziwa yenye barabara za kwenda calculator maji makubwa ya Kilimanjaro ndio huleta matairi ya kifaru cha mwinuko wa bahari kwenye ukuta wa maji.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BANGI ZINAFUNGIWA LINI?
 
NUKUU YA LEO

Kila mwenye pumzi auheshimu mtihani wa taifa (NECTA) na mitihani mingine, ukitaka kujua thamani ya mtihani tazama ile orodha pendwa ya watu 9,932

Usiniulize orodha ya nini[emoji3]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,, daaaadeki nd utajua kwann modo haina marinda,,
 
Nimeangalia tamthilia ya Kikorea inayohusu mapenzi kwa miezi 3 hakuna hata kipande kimoja demu alichoomba hela, cha kushangaza hizi tamthilia dada zetu wanazipenda sana, wanajifunza maudhui yake kweli?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkinuna poa tu ndo nishasema.
 
*MITOMINGI*; nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo

*MAMA_MAZOEA*; Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).

*MAZOEA*; Hodi! Hodi!

*NGOSWE*; Karibu

*MAZOEA*; (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.

*NGOSWE*; Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.

*MAZOEA*; Nimeambiwa nifanye haraka.

*NGOSWE*; Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?

*MAZOEA*; Bee?

*NGOSWE*; Salama?

*MAZOEA*; Salama tu.

*NGOSWE*; Sasa ndio umekataa kukaa?

*MAZOEA*; (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?

*NGOSWE*; Bado kidogo.

*MAZOEA*; Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)

*NGOSWE*; Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. (Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?

*MAZOEA*; Mie?

*NGOSWE*; Ndio wewe hapo kisura.

*MAZOEA*; (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!i

Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe! ! !

[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] Kwendreni huko...
 
Endelea...
Ukifika kwenye ile kiss matata alaiyoipiga Ngoswe kule mtoni unishtue.
Mi ngoja nikuangalizie mama mazoea asije kuharibu utamu.
 
mbavu zangu mie.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Lazima uzime kwanza
 
Msaada tafadhali.wakati natoka zangu kariakoo nmekata tiketi ya mwendokasi sasa nikiwa njiani c nmejisahau nkatafuna kile kikaratasi,niambieni nifanyeje maana nikiingie kwenye lile banda lao cjui kama ntatoka leo
 
I kissed my first love in a hotel room
 
HIZI MILA NYINGINE NI SHIDA

Juzi nime enda kuzika jirani yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kuwa ,baada ya kuzika mkiwa huko huko makaburini, Mzee wa kimila huwa ana simama na kumtangaza anaye fuatia kufa.
Mzee huyo alipo simama.......kwa kujiamini kabisa aka jikohoresha....arafu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la makaburini ndiye atakaye fuatia kufa....bila kutaja jina wala nini.............


Leo siku ya tatu bado tuna zunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yle mzee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shkamooo kifo



*CUBIC NATION*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…