Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Endelea...
Ukifika kwenye ile kiss matata alaiyoipiga Ngoswe kule mtoni unishtue.
Mi ngoja nikuangalizie mama mazoea asije kuharibu utamu.
Mzee mitomingi kashafanya yake, kalewa chakari kachoma kurasa zinazofuata...!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji19] [emoji3] [emoji4] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
 
*Mzee mmoja aliagizwa sidiria na mke wake, alipofika dukani akawa amesahau size gani. Mama muuzaji akamwambia: "Usijali, njoo unishike matiti yangu ulinganishe na hayo ya wife wako labda utakumbuka ukubwa wa sidiria ulioagizwa, "Mzee kuona hivyo akasema: "Niliagizwa na chupi!"*

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
KWELII TUNAISOMA NAMBA MWAKA HUU MVUA ZOTE HIZI HATUONI HATA WALE KUMBI KUMBIII TUPATEPO HATA KA MBOGA KA JIONI [emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vuta picha umegia chooni kukata gogo pembeni yako lile dishi kubwa la maji limejaa fully, unamaliza kukata gogo unaangalia kopo la kutawaza lipo kama hatua tano ivi ndo utajua kuwa bata akitembea analinga au anayake!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Vuta picha umegia chooni kukata gogo pembeni yako lile dishi kubwa la maji limejaa fully, unamaliza kukata gogo unaangalia kopo la kutawaza lipo kama hatua tano ivi ndo utajua kuwa bata akitembea analinga au anayake!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Unaweza post picha ya mkeo then watu wakakuuliza...," kumbe na wewe unamjua uyu malaya"[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ndipo utajua ni kwanini Petro alimkana Yesu mara 3[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…