ntabhaligwa
Senior Member
- Jan 2, 2017
- 141
- 103
pWakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Juzi nlienda kumsalimia Dada angu kwake basi baada ya kukaa kidogo akaja mwanae akaanza kunambia anko KISIMI, hee nkashituka nkamwambia unasemaje ww akarudia tena KISIMI anko. Aisee nkashika bakora nikamchapa kweli ndo Dada anakuja anasema mtoto alimaanisha 'KISS ME'*
*Haya mambo ya kupeleka watoto shule za international ndo yanatuumbua ata sisi wenye vyeti feki kudadeki, pole anko mwaya*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Jana nlienda kununua parachichi la mia tano nkaomba mfuko, mama Ayubu akaniambia hatoagi mfuko kwa vitu vya chini ya elfu moja, sasa leo nimeenda kununua vocha ya elfu moja nkaomba mfuko... Mpaka sasa muuzaji ananikodolea macho sijui anataka kunipa mifuko Miwili.......*
Mmh…!Nukuu ya siku;-
*Usimuite demu wa mwenzako malaya wakati wakwako hujui hata bikira kaitoa nani*
Kiongozi Vp mbona wagunaMmh…!
Hapo kweny wa kumtoa bikira nd utata,,, ukimchnguz san bata haumli ujue…!!Kiongozi Vp mbona waguna
Hahahahahah...!! kwel kamandaHapo kweny wa kumtoa bikira nd utata,,, ukimchnguz san bata haumli ujue…!!
Wee noma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]*Juzi nlienda kumsalimia Dada angu kwake basi baada ya kukaa kidogo akaja mwanae akaanza kunambia anko KISIMI, hee nkashituka nkamwambia unasemaje ww akarudia tena KISIMI anko. Aisee nkashika bakora nikamchapa kweli ndo Dada anakuja anasema mtoto alimaanisha 'KISS ME'*
*Haya mambo ya kupeleka watoto shule za international ndo yanatuumbua ata sisi wenye vyeti feki kudadeki, pole anko mwaya*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]*Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa...*
*Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huu.....*
*Wanavyopenda hela* [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]