Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
p
 
*Jana nlienda kununua parachichi la mia tano nkaomba mfuko, mama Ayubu akaniambia hatoagi mfuko kwa vitu vya chini ya elfu moja, sasa leo nimeenda kununua vocha ya elfu moja nkaomba mfuko... Mpaka sasa muuzaji ananikodolea macho sijui anataka kunipa mifuko Miwili.......*
 
*Juzi nlienda kumsalimia Dada angu kwake basi baada ya kukaa kidogo akaja mwanae akaanza kunambia anko KISIMI, hee nkashituka nkamwambia unasemaje ww akarudia tena KISIMI anko. Aisee nkashika bakora nikamchapa kweli ndo Dada anakuja anasema mtoto alimaanisha 'KISS ME'*

*Haya mambo ya kupeleka watoto shule za international ndo yanatuumbua ata sisi wenye vyeti feki kudadeki, pole anko mwaya*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
*Juzi nlienda kumsalimia Dada angu kwake basi baada ya kukaa kidogo akaja mwanae akaanza kunambia anko KISIMI, hee nkashituka nkamwambia unasemaje ww akarudia tena KISIMI anko. Aisee nkashika bakora nikamchapa kweli ndo Dada anakuja anasema mtoto alimaanisha 'KISS ME'*

*Haya mambo ya kupeleka watoto shule za international ndo yanatuumbua ata sisi wenye vyeti feki kudadeki, pole anko mwaya*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Khaa.jpg
 
*Jana nlienda kununua parachichi la mia tano nkaomba mfuko, mama Ayubu akaniambia hatoagi mfuko kwa vitu vya chini ya elfu moja, sasa leo nimeenda kununua vocha ya elfu moja nkaomba mfuko... Mpaka sasa muuzaji ananikodolea macho sijui anataka kunipa mifuko Miwili.......*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
*Juzi nlienda kumsalimia Dada angu kwake basi baada ya kukaa kidogo akaja mwanae akaanza kunambia anko KISIMI, hee nkashituka nkamwambia unasemaje ww akarudia tena KISIMI anko. Aisee nkashika bakora nikamchapa kweli ndo Dada anakuja anasema mtoto alimaanisha 'KISS ME'*

*Haya mambo ya kupeleka watoto shule za international ndo yanatuumbua ata sisi wenye vyeti feki kudadeki, pole anko mwaya*
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wee noma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwalimu aliwauliza wanafunzi
"1+1 ni ngapi"?
Mwanafunzi mmoja akajibu
"ni 4"
Mlevi aliyekuwa anapita nje akastuka...
"Tutakufa mwaka huu kila kitu kimepanda!
Nauli,Sukari, Bia, Chakula
....... mpaka 1+1 iliyokuwa 2 nayo imekuwa 4![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji374][emoji374][emoji24][emoji24][emoji24][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wakati unasifia hii hali ya hewa, napenda kukujulisha yafuatayo:
1)Huggies ni Tshs 38,000/= kwa Pack moja
2)SMA Milk Tshs 52,000/= kwa kopo
3)Bima ya mtoto ya Afya 1,540,000/= kwa mwaka
4)Gharama za mama kujifungua hospitali nzuri si chini ya Tshs 700,000/=
5)Baby Walker Tshs 110,000/=
Sasa ww jishaue tu kujitia una jini mahaba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Girl: Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

Boy: "poa, na wewe acha kutumia make up"

Girl: "Mimi napaka make up ili unione mzuri"

Boy: "Na mimi nalewa ili nikuone mzuri"
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom