Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

1de74fc0200af0e2df73c24b427816f7.jpg
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
TANGAZO MUHIMU SANA!!

Ndugu yangu mkristo na muislam chukua tahadhari mapema sana.

Usije ukaenda KFC au cafe yeyote ukala vyakula kama pizza [emoji487],chips kuku wa kienyeji au wakisasa, eggchop, bagga, maini, sandwich, beef meat chop nk. Bila ya kunikumbuka na Mimi maana pia ndio mambo yangu hayo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi kua na akili kamwe hahahahah
 
lugha bhana,

Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
lugha bhana,

Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeua aseehhh mkuu
 
Mume baada ya kurud om after work kachoka kamkuta mkewe aliye mtoa sigimbi kwa bibi kanuna balaa.
Mume: una nini mke wng?
Mke: kwani hujui?
Mume: ningekua najua nisinge kuuliza mke wng.
Mke: siku hizi sikuelewi kabisa mume wng, wataka nikupende vp?. Nataka unieleze ni nani anaitwa Alarm anapiga simu kila siku alfajiri tu na wewe unaikata ili nisisikie maongezi yenu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe

Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe

Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakumbuka exile za chuo aseeh!
 
Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa. Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu Wa kiume Wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia hakunyamaza. Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto. Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa?[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] [emoji35]. "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" . " kweli hayatoi?". Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo kingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini. Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa? Wanawake acheni hizo!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nafwaa Huku jemeni
 
Back
Top Bottom