Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Huwezi kua na akili kamwe hahahahah
 
lugha bhana,

Jamaa alienda Saudi
Arabia, kataka kuvuta
sigara lkn hakuwa na
kiberiti. pembeni yake
kukawa na muarabu
anacho sasa hajui
amuombeje, basi lilimtoka
tu "Ya Muarrab, give me Jahannam''[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeua aseehhh mkuu
 
Mume baada ya kurud om after work kachoka kamkuta mkewe aliye mtoa sigimbi kwa bibi kanuna balaa.
Mume: una nini mke wng?
Mke: kwani hujui?
Mume: ningekua najua nisinge kuuliza mke wng.
Mke: siku hizi sikuelewi kabisa mume wng, wataka nikupende vp?. Nataka unieleze ni nani anaitwa Alarm anapiga simu kila siku alfajiri tu na wewe unaikata ili nisisikie maongezi yenu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe

Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wanaume Bhana
Tunaushirikiano Sana, Eti Mwenzetu Akija Na Demu Gheto, Wengine Wote Tunaaga Kwa Sababu Mbalimbali ili mtu aliwe

Mungu Anatuona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakumbuka exile za chuo aseeh!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nafwaa Huku jemeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…