Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Sometimes nikisoma Bible huwa namchukia shetani sana...
Yani imagine alikua anamshawishi Yesu abadilishe mawe yawe mkate....

Yani inamaana now Nyumba zetu tungekua tunajengea mikate....

Kwaiyo kama umejenga kwenye hifadhi ya barabara Tanroads wakija na chai tu... Wanaikula Nyumba yako yote.....

Asee I hate shetani na idea zake zote....
 
Duh
 
Hahahahahaha,,, Jf Raha sana
 
Two thieves were to be jailed kulingana na kile ameiba
Kamau:aliiba crate ya soda so akafungwa miaka 24
Njoroge:aliiba tray ya mayai so miaka 30
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwaura collapsed. Aliiba ngunia ya mchele[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamaa alikuwa haoni akafanyiwa upasuaji wa macho na Wachina nchini China na kuwekewa macho ya paka, baada ya muda akatolewa bandeji na kuulizwa vp unaona, akajibu naona dagaa tu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125]
 
"UNGEKUA WEWE NDIE KINYOZI UNGEMNYOA STYLE GANI?
....
JAMAA: Harooo, kijana hebu changamsha mkono huo usininyoe kama mrembo mimi!!"
KINYOZI; Poa usiogope!!"
JAMAA; Sasa niogope nini kwa mfano yaani??
KINYOZI; hapana bro. yani namaanisha nimekusoma"
JAMAA; Unisome mie kitabu?..kwaio unaniweza au sio?"
KINYOZI; mmmmh? apana bro nsamehe yaishe..kwa..kwa kwaio nkunyoe staili gani? kaka?"
JAMAA: Utajua mwenyewee!! wewe si ndio kinyozi"..Sasa jichanganye unikosee!! Utafurahi na roho yako!!"
 
Hv wewe mwanaume lakini mkeo ana kichwa kikubwa, bado tu unataka uitwe kichwa cha familia[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hahahahaaaaaaa
 
YEYOTE ANAYESOMA HUU UJUMBE NAMUOMBEA MWAKA HUU APATE MIMBA
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Type Amen[emoji120]
Pumbaf, jana nilipata mimba[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana nilikula wali kilo moja na maharage robo kilo, usiku nilitema mate sana[emoji38] [emoji38] Lakini bahati yako leo asubuhi imetoka[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuvimbirwa noma asee, nilihisi ndio mimba[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Mwanaume ni nani.!?

Mwanaume ni yule ambaye anaenda HOTELINI kwanza na kumuambia mhudumu wa hoteli nikija hapa na DEMU sema " IMEBAKI CHAI NA MAANDAZI.."
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zanguuuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiii kali aisee
 
Maaaweee....umeua[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Kumbe Bro Jesus alicheza sana pale alipochomoa Shetani eenh!! Bro alikuwa kichwa sana!!
 
Hii nimecheka kidogo nianguke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…