Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Mwanamke mrefu afu mwembamba akivaa wigi.. Akikaa mbali unaweza kudhani ni ufagio wa kukwangulia buibui
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
 
"*Watu waongo sijawah ona!!"
Eti:- 'Milima *haikutani*' *Lakini*
*binaadam wanakutana*"
*Hivi wewe kwa akili yako *unaweza*
*kukutana* *na* *RIHANA*? *Au* *RAMBO*.? *au*
*MESSI*.? *ama JET LEE*.?.
*Huyo* "KITALE *mwenyewe*" teja lakini*
*kukutana nae ufanye kazi*!".
*Sasa kwa tariifa yako utaendelea*
*kukutana na mimi mwanzo mwisho*,
*binadamu wengine wana sifa za*
*milima*[emoji16]
 
hizo bangi za utoton si mzur kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanasema bangi ukivuta paf moja basi akili yako haitakaa sawa kwa muda wa miaka 40, sidhani kama walikosea
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
VIASHIRIA VYA MWANAMKE KUFIKA KILELENI



1. Kama amevaa gauni litapeperuka kwa upepo.

2. Kama hajavaa koti ataanza kutetemeka kwa baridi.

3. Akiangalia chini ataona nyumba kama sisimizi.


[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kupanda mlima yahitaji moyo sana nakuambia.
 
[emoji23]Enzi hizo shule kuna wanafunzi walikuwa wanaandika topic kwa kalamu nyekundu, sub topic kalamu ya nyeusi, na notes kalamu ya bluu.[emoji23] Sijui mko wapi siku hizi, au mlipata kazi sadolin?

nmeipenda iiih [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
JE WAJUA…??

katika maisha yake yote ADOLPH HITLER hakuwahi kusema neno ASANTE hii ni kutokan na yeye kutokujua kiswahili…!!!

So lazima wote tuelewane bnaaa…!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji134] [emoji134]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…