Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, ww nd bangi zimekuelemea mpk hujaon km kuna kosa hapo…!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] *Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38]*
 
Soon utasikia Hamorapa anaenda kumpa pole Diamond kwa kufika na mume mwenza...!!

Akili yake anaijua mwenyewe..!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, ww nd bangi zimekuelemea mpk hujaon km kuna kosa hapo…!!
We umeona wapi dereva wa bajaji kuendesha akiwa kavaa helmet, sijasema bodaboda.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
 
Mie akili ilidhani Aliexpress.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Itakuwa maisha yametuvuruga sio bure
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
 
Dah, sijawahi kuwa teja wala addict kihivyo but tangu ianze swaum nimekuwa addict na adhana ya Magharibi[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
We umeona wapi dereva wa bajaji kuendesha akiwa kavaa helmet, sijasema bodaboda.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
Daaa, acha tuu kukurupuka huku si kwa dunia hii…!!
 
Pale unapomsomesha binti kwa kutumia mtaji wako wa duka,, halafu akifika chuo anampata msomi mwenzie,, wew ukiendlea kumfata fata anakuuliza "unanidai shilingi ngapi nikurudishie???"[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapo ndipo utakapojua kwanini kinyesi hakina miba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee…!!!
 
```mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......na mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Sitaki mapovu hapa........
Hahahahaaaaaaa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kwa wale mnaofunga Ramadhani ,, naomba kuwakumbusha kuna watu tumejitolea kubeba mizigo yenu kipindi hiki,, tunaombeni namba za simu za michepuko yenu tuwasaidie kupunguza vishawishi

UNDUGU ni KUFAANA na SIO KUFANANA…!!?
 
*SILLY QUESTIONS, SILLY ANSWERS*
*1. Mtu anakuona umejilaza kwa bed, na macho umefunga alafu anakuuliza*
*"unataka kulala"*...... *_"hapana najaribu kufa"_*
*2. Mvua inanyesha halafu unataka kutoka nje kisha mtu anakuuliza "unakwenda na hii mvua?"*..... *_"hapana nitakwenda na inayofuata"_*
*3. Rafiki yako anakupigia simu yako ya mezani afu anauliza "uko wapi?" ..... _"niko kanisani naombewa_"*
*4. Wanakuona umelowa ukitokea bafuni wanakuuliza "umetoka kuoga?"* ..... *_"hapana nimeanguka kwenye bakuli la choo"_*
*5. Umemnunulia mkeo maua anakuuliza "hayo ni maua?"* ..... *_"hapana mke wangu ni karoti"_*
*6. Uko kwenye foleni yakulipia tiketi ya kuingia uwanjani kucheki mpira, rafiki yako anakuuliza "Na wewe unaenda kuangalia mpira?"*...... *_"Hapana nimekuja kulipa ada ya shule"_*.
*7. Umesimama nje ya lift kwenye ground floor, kisha unaulizwa "Unapanda juu?" .....*
*_"Hapana ninasubiri chumba changu kije kinichukue hapa chini"_*.
USIPENDE UJINGA BHANA[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NDANI YA DALADALA WATU KIBAO……!!!

DADA:kaka naomba unipakate
JAMAA: usijali,,, njoo tu nikupakate

BAADA YA MUDA
JAMAA: dada ,,wewe ni sekretari??
DADA:ndio umejuaje?
JAMAA:Vidole vyako laini
DADA: Na wew ni fundi magari?
JAMAA,,Ndio,, umejuaje??
DADA:hapa nilipokaa nasikia kitu kama JEKI YA GARI INANIINUA INUA…!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] madada nao sometime hawapendagi ujinga…!!!
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,,,majibu mubashara kabisaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…