Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekunya
 
Leo nimeenda kuchangia damu hospitalini,mara wananambia soda na biskuti zimeisha..!
Sa hii nipo zangu njiani na damu yangu kwenye blood bag naelekea nyumbani. Bora niwapelekee mbu take away..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

wala sijawahi vutaga bangi Mimi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Stress ni nini

Stress ni pale upo kuelekea kazini kwa bahati mrembo anakuomba lift
na bahati mbaya hali yake inabadilika unamkimbiza hospital, baada ya muda doctor anatoka anakwambia hongera, unajiuliza hongera ya nini ana kwambia mkeo ana mimba una tahamaki na kumwambia doctor huyu sio mke wangu lakini kale kadada kwa sauti ya nyororo kanamwambia doctor ni mimba yake, unapanic doctor anakwambia hebu njoo nikupime baada ya mida doctor anatoka anakwambia ni kweli mimba sio yako unashusha pumzi lakini anakwambia nilivyokupima nimegundua huna uwezo wa kudharisha unapatwa na mshitiko na kupata na big stress na kufikiria kama sina uwezo wa kudharisha wale watoto watatu nilio nao ni wa nani.!!?
Ndo apo sasa!
 
Sense of humour
Kweli!! Wengine hatuna kabisa hiyo. Ebu nijaribu

Stress ni pale unatoka kwenye mtihani na kujisifia ulivyofanya vizuri swali la tatu alafu rafiki yako anakuuliza swali la saba umelifanyaje... Akati umefanya maswali manne tu! [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Jamaican man was making love to his wife
for the 1st time.He suddenly screamed 'jah
bles' and ran out of the room & came back
with a bucket of water & poured t on his
wife's private parts.
The frightened wife shouted 'watagwan wat u rasta man do dat 4?' the man answered,
bomboclat woman dis ting too sweet me
gwan dilute it, remember me diabetic sweet
tings nah good fi mi rastaman....... .....
 
Zuberi* alimpa ujauzito mwanafunzi
akashtakiwa.
Kumbe Zuberi ana bibi
yake mtaalamu wa yale mambo yao
ya Sumbawanga, akampachika Zuberi
jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa Zuberi akasema sijampa ujauzito
kwani mimi nina jinsia ya kike.
Kwa kuthibitisha Zuberi akajifunua
nguo basi akashinda kesi, kufika
nyumbani Zuberi akawakuta watu
wamejaa wanalia, akauliza kulikoni? Akaambiwa bibi yako amefariki. Zuberi akawa *zubeda*
 
Kweli!! Wengine hatuna kabisa hiyo. Ebu nijaribu

Stress ni pale unatoka kwenye mtihani na kujisifia ulivyofanya vizuri swali la tatu alafu rafiki yako anakuuliza swali la saba umelifanyaje... Akati umefanya maswali manne tu! [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha kumbe upo vizuri
 
Kuna vijimisemo vifupi vimeibuka huku kwenye mitandao kwa sasa, yaani ni full burudani!
Ukivisomo mwisho lazima ubaki mdomo wazi au ucheke, baadhi ya niliyokutana nayo naweka hapa, pia karibuni kwa wenye zaidi tuburudike pamoja!

Leo kidogo nipigwe na MWANAMKE baada ya LIFTI kusimama...wakati tupo kwenye lift Nilikua nayaangalia MAZIWA yake akasema "Bonyeza Moja"[emoji196][emoji196] mi si nikalibonyeza?
Yaani had sasa
bado najiuliza nilipokosea.


Hivi Utajisikieje Utakaposikia Rafiki Yako wa Karibu Hajaja Kwenye Mazishi Yako ???!
Nadhani Mimi Sitamwongelesha Tena !!!! [emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
I think nakaribia kupona


Nimenunua chips ili nile kwa bahat mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa next to me akaanza kuzililia.
Imebidi nivae earphones. [emoji19]Napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..


Jana nimepita njia ya mkato makaburini warembo wawili wakawa wananikimbilia wanatetemeka Eti tunaogopa kupita peke yetu na mm Nikawajibu hata mm nilivyokuwa hai nilikuwa naogopa sana . Wakazimia
Sipendagi kufatwa fatwa mm[emoji57][emoji57][emoji57]


vizuri sana
 
Ile time unabaki kuona aibu,ni pale
unafanya mtihan wa mathematics halafu
jina huandiki sababu unajijua wewe ni
kilaza!!!!!!!sasa mwalimu anakuja kugawa
mitihan baada ya kusaisha,,,anagawa
mitihan yote halafu wanafunz wote wamepata mitihan yao, pekee ako ndo
haujapata!!!!
halafu unakuja kusikia mwalimu anasema
kuna punda haijaandka jina ije hapa

hapo ndo utajua kwa nini titi ni ziwa lakini hakuna samaki
 
WALLAHI CTAWAHI KUDANGANYA TENA

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"
Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale[emoji124][emoji124][emoji124]

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu... [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Unajua unautendea haki sana huu uzi! Kama vichekesho hivi vyote ni vyakwako kwa kutunga...basi ...vikusanye vyote na viandalie kajarida ka kila wiki unaweza kupata chochote cha kukuza kipato na kusaidia kutengeneza ajira.
====
Nimependa ubunifu wako wakuja na uzi huu.
 
Ile time unabaki kuona aibu,ni pale
unafanya mtihan wa mathematics halafu
jina huandiki sababu unajijua wewe ni
kilaza!!!!!!!sasa mwalimu anakuja kugawa
mitihan baada ya kusaisha,,,anagawa
mitihan yote halafu wanafunz wote wamepata mitihan yao, pekee ako ndo
haujapata!!!!
halafu unakuja kusikia mwalimu anasema
kuna punda haijaandka jina ije hapa

hapo ndo utajua kwa nini titi ni ziwa lakini hakuna samaki
Hahahahaha...... Noma sana kwa huyo punda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom