Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hivi?Naomba unijuze jinsi ya kubadili rangi ya maandishi kwenye simu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daudi chaaa!!!Mwalimu: Kama kaka yako akisomea Uhandisi utamwita brother Engineer, je dada yako akisomea Sheria utamuitaje?
Bashite: Sister in-Law.! Mwalimu: Usipobadilika utarudi Kolomije na ndala.! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji41]Ile time unabaki kuona aibu,ni pale
unafanya mtihan wa mathematics halafu
jina huandiki sababu unajijua wewe ni
kilaza!!!!!!!sasa mwalimu anakuja kugawa
mitihan baada ya kusaisha,,,anagawa
mitihan yote halafu wanafunz wote wamepata mitihan yao, pekee ako ndo
haujapata!!!!
halafu unakuja kusikia mwalimu anasema
kuna punda haijaandka jina ije hapa
hapo ndo utajua kwa nini titi ni ziwa lakini hakuna samaki
Hahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimepitia njia ya police station,, nikaona gari yao imeandikwa 4WD×4WD sasa mimi nikachukua ink pen nikajaza 16W²D² ,, sahiii niko kwa Landrover yao nadhani wananipeleka university kufundisha hesabu[emoji28][emoji28][emoji28]
[HASHTAG]#zotekalikinoma[/HASHTAG]!!
Hahahaaaaaa we jamaa wewe
Hivi ni njia gani yakufanya ili mtu awe anaona huu uzi kila saa maana unapoteaga
Muelekezeni jamani mnamtia hamu au na nyie hamjui.... Acheni hivyo bado ni mgeniNi hifyo hifyotubhana...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Kama kabati la vyomboHuu Ufala wa Madem Huwa Mnavaa Earings Kwa Mapua, Ulimi, Masikio sijui kwa Uso...Maneckless ka mia Mbili...!!!
Mwingine ameanguka jana Town ametoa sauti Ka sufuria[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupwangalangichikong'oung'enkikounkong'ouu!
Akiwa na Ali kiba ndani ya kgt recordsApa Queen ndo alikuwa juu
Hahahahaunakuta mdada ana tumatiti tudogo afu akianza kwenda kuoga anafunga taulo mpaka shingoni sa sijui anafunika mapigo ya moyo
[emoji276][emoji276]ujinga tu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha uwiiiiiHuu Ufala wa Madem Huwa Mnavaa Earings Kwa Mapua, Ulimi, Masikio sijui kwa Uso...Maneckless ka mia Mbili...!!!
Mwingine ameanguka jana Town ametoa sauti Ka sufuria[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupwangalangichikong'oung'enkikounkong'ouu!