Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,,, huu ni utani w ngumi kabsa huu…!!
Naamini umeanza kuzifahamu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja nika[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Tigo Walianzisha *Halichachi*

Airtel Wakaiga *Hatupimi*

Voda Wakaiga *Haliishi*

Sasa Hivi Tigo Wameanzisha *JAZA UJAZWE*

Halotel na Wao Wameiga *INGIZA UINGIZWE[emoji23][emoji23][emoji23]*

Airtel na Wao Washaiga *RAMBA URAMBWE[emoji23][emoji23][emoji23]*

Vodacom na Wao Washaiga *TIA UTIWE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*

*[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Hapa Nilipo Naenda Kusajir Lain ya ZANTEL Maana Sipendagi offer za kjinga jinga mm wajazane wenyewe sasa*
 
NIKIWA SHULE MWALIMU WANGU WA KISWAHILI ALINAMBIA "MTU MWENYE MKONO MREFU MAANA YAKE NI MWIZI"
SASA KUNA WAKATI UNASIKIA VIONGOZI WANASEMA..MSICHEZE NA SERIKALI MAANA SERIKALI "INA MKONO MREFU"
YAANI HAPO NDO NASHINDWAGA KUELEWA NDUGU WATANZANIA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niko kwenye Daladala....
Kuna jamaa anasoma meseji zangu mda mrefu tu ... sasa nimeamua kuweka Selfie.. Basi tuko tunaangaliana kwa screen ya simu yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi unajua kuwa wazee wetu wa kiafrika wakizeeka wanakuwa wazungu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wazungu wana nywele nyeupe na wazee wetu wanakuwa na nywele nyeupe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Kweli wanakuwa wazungu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
 
Hivi unajua kuwa wazee wetu wa kiafrika wakizeeka wanakuwa wazungu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wazungu wana nywele nyeupe na wazee wetu wanakuwa na nywele nyeupe[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Kweli wanakuwa wazungu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ,, hiyo avatar yako na matendo yako yanafanana kabsaa…!!,,,usiach kutumia ilo jani
 
fee98a40ac5a6c7f6a0fde023e9ed261.jpg
 
nani ashakula kashata za bangi humu*??!!
mi nilikula siku hiyo nikaanza kuhisi nikitembea mikono inabururuza chini ikabidi nitembee mbez hadi magomeni mikono iko juu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sugar kubwa [emoji377] [emoji377] [emoji377] hzo mkuu
 
Back
Top Bottom